enock yusto
JF-Expert Member
- May 28, 2014
- 377
- 342
Nauliza kwa sababu kabla mh hajatoa tamko ilikuwa 1900 sahivi ni 2300.
2800/=2800/-
Mambo ya SUKARI ukiyataja tu nadhani Ndugu Kassimu anapata presha hana hamu nayo kabisa..by the way huku nilipo Kondoa kilo ni 3500 hadi 4000Nauliza kwa sababu kabla mh hajatoa tamko ilikuwa 1900 sahivi ni 2300.
Ungesema kila mtu na aseme mahali alipoNauliza kwa sababu kabla mh hajatoa tamko ilikuwa 1900 sahivi ni 2300.
Wapi huko usijeitwa mchochezi!3000
bora kwako ni ni 2300, huku arusha 2600;Nauliza kwa sababu kabla mh hajatoa tamko ilikuwa 1900 sahivi ni 2300.