kazuramimba
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 126
- 57
Wakuu mimi naishi kigogo mkwajuni hapa kuna babu mmoja ambaye ni mganga na husifika kwa kung'arisha nyota! Inadaiwa kuwa huyu babu ni kabila moja na mama ake dimond na mara ya kwanza nilimuona daimond na mama yake jioni wakielekea kwake.Juzi kati nikashangaa tena kumwona wema mbali kidogo na kwa yule babu kumbe alikuwa anamngojea dimond ambae kwa wakati huo alikuwa anang'arishiwa nyota yake! Wasiwasi wangu ni kuwa hunda yaliyomkuta babu seya yakamkuta dimond kwani hawa wa ganga mara nyingi huwa wana masharti magumu sana.Babu seya walimpa sharti la kulawiti watoto ili azidi kuwika sasa daimond sijui hajajifunza.