uchumi2018
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,087
- 2,993
Salaam wakuu,
kama kichwa kinavyojieleza,kiukweli mimi binafsi nilikuwa na matumaini makubwa na huduma ya mwendokasi kwamba atakuwa mkombozi wahuduma za usafirishaji jijini Dar. Miaka ya nyuma nilikuwa naishi Maeneo ya Tabata kwa hiyo sikuwa mtumiaji wa huduma hii,lakini niliamini itasaidia sana watumiaji hasa mida ya asubuhi wakati wa kwenda kazini.
Sasa baada ya kuhamia Maeneo ya mbezi ya kimara,kwa kweli huduma hii ni mateso matupu hasa kwa route za kkoo na posta maana asubuhi ni mateso matupu, Napendekeza zianzishwe dala dala za kutokea mbezi kwenda kariakoo na posta wakati wamiliki wa mwendokasi wanajipanga kihuduma ili kutupunguzia mateso sisi watumiaji wa usafiri kutoka mbezi kwenda kati kati ya jiji.
Je,mkazi wa mbezi ya kimara,nini maoni yako juu ya hili?
karibuni.
kama kichwa kinavyojieleza,kiukweli mimi binafsi nilikuwa na matumaini makubwa na huduma ya mwendokasi kwamba atakuwa mkombozi wahuduma za usafirishaji jijini Dar. Miaka ya nyuma nilikuwa naishi Maeneo ya Tabata kwa hiyo sikuwa mtumiaji wa huduma hii,lakini niliamini itasaidia sana watumiaji hasa mida ya asubuhi wakati wa kwenda kazini.
Sasa baada ya kuhamia Maeneo ya mbezi ya kimara,kwa kweli huduma hii ni mateso matupu hasa kwa route za kkoo na posta maana asubuhi ni mateso matupu, Napendekeza zianzishwe dala dala za kutokea mbezi kwenda kariakoo na posta wakati wamiliki wa mwendokasi wanajipanga kihuduma ili kutupunguzia mateso sisi watumiaji wa usafiri kutoka mbezi kwenda kati kati ya jiji.
Je,mkazi wa mbezi ya kimara,nini maoni yako juu ya hili?
karibuni.