Mwisho wa mwezi huwa inasumbua sana subili siku mbili mbele nazani mambo yatakuwa sawa tuHello wakuu, kuna hii huduma ya salary advance CRDB. Imesitishwa? ama ina tatizo gani? maana unaomba mkopo siku tatu uko pending ... kwanini?
wahusika hebu pitieni hapa okoeni jahazi huku...