Huawei Y300 ni janga

Huawei Y300 ni janga

Ligogoma

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2010
Posts
3,502
Reaction score
6,444
Habari wana JF?

Kifupi nimeanza kuziogopa bidhaa za Huawei baada ya kukutana na jamaa yangu Huawei Y300 imemfia.

Ni bado mpya, ila inatoa alert messages zisemazo "unfortunately, contact has stopped", watsapp, display, na kila kitu kina stop kwenye simu na huwezi kufanya chochote! Hajaiangusha wala kuifanya chochote, ni yenyewe system imekufa tu

Tukajaribu kuupdate inakataa "your EMMC is readonly"

Tumekwenda kwa mafundi kama wanne wote wanasema ishakufa hiyo. Mbaya zaidi imevizia warrant kuisha, ina mwezi na nusu tangu warrant yake iishe.

Wadau wa technology, inawezekana hili tatizo likafanya simu nzima itupwe??

Nawasilisha
 
Mbona hata kuna jamaa alikuwa na samsung galaxy Ace alikuwa kila anacho fanya ina stop.
Nikamfanyia hard reset hadi sasa iko poa tu haisumbui tena.
 
Hzo cm ukinunua zle feki za kariakoo umeumia....y300 zilizokuwa zinauzwa na tigo mwanzoni kbxa zilikuwa ni jembe balaa.....
 
Hyo inawezekana ilikuwa line moja (tigo) akaiflash...hapo ndo tatzo lilipoanza...
 
mwambie anunue Iphone 6+ hata kuja kujuta
 
Hizo siyo simu yangu nimegawa kwa mafundi simu kariakoo watoe spea
 
Mbona hata kuna jamaa alikuwa na samsung galaxy Ace alikuwa kila anacho fanya ina stop.
Nikamfanyia hard reset hadi sasa iko poa tu haisumbui tena.

Hiyo hapo hard reset inagoma, EMMC is readonly.
 
Mi pia nililetewa ya namna hio. Solution nyingi nilizoziona ni kubadilisha storage ya simu (emmc) so tafuta y300 iliokufa ili fundi atoe hicho kifaa aeke kwako.

Sijui kama kuna sollution nyengine.

Hio ni sawa na flash inayosema write protected inasoma tu ila hairuhusu kuwrite mafile kwenye storage yake
 
Mi pia nililetewa ya namna hio. Solution nyingi nilizoziona ni kubadilisha storage ya simu (emmc) so tafuta y300 iliokufa ili fundi atoe hicho kifaa aeke kwako.

Sijui kama kuna sollution nyengine.

Hio ni sawa na flash inayosema write protected inasoma tu ila hairuhusu kuwrite mafile kwenye storage yake

Duuh!! Dawa ni kuachana na simu za kichina za bei rahisi tu! Thanks brother
 
Back
Top Bottom