and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 4,515
- 14,990
Waachane na soko la PC chap chap kabla hawajafirisikaKama uliona simu ambazo ni foldable kama Samsung Galaxy Z fold, Galaxy Z flip na simu nyingine kama hizo ambazo ni foldable fahamu pia kuna laptop imetoka ambayo pia ni foldable ambayo ni Huawei MateBook Fold.
Kwa sasa inapatikana China pekee, RAM ni 32 GB na storage zinakuja na size tofauti 512GB/1TB/2TB SSD.
Bei ni kuanzia $3,330. Screen ni OLED ya inchi 18 inayokunjika.
OS inatumia Harmony OS 5 sijafahamu bado kama kuna uwezekano wa ku install windows, linux n.k... nadhani zikishaanza kuenea tutapata habari zaidi.
Kwa hili Huawei wametisha sana, wapo vizuri.
Unatumia MacBook GaniLaptop ni moja tu. Macbook
Pro M3 maxUnatumia MacBook Gani
Sidhani kama watafilisika.Waachane na soko la PC chap chap kabla hawajafirisika
Hapana, usikariri, hata wakati wa Nokia watu walijua hatotokea mpinzani, kwa hii speed ya huawei ndio maana imebidi US wawafanyie fitina.Laptop ni moja tu. Macbook
Sikariri, labda miaka 30 ijayoHapana, usikariri, hata wakati wa Nokia watu walijua hatotokea mpinzani, kwa hii speed ya huawei ndio maana imebidi US wawafanyie fitina.
Laptop ni moja tu. Macbook
Soko lao gumu wapi?.Maana hao soko lao wanalilenga kwao kwanza.Uku nyie mtakuja kupata matoleo mengine badae kwajinsi watakavyoona muitikio.Hiyo kampuni ni kubwa sana uchinaSoko lao bado gumu sana
Sawa mkuu, kweli kampuni ilikuwa kubwa sana lakini Kwa Sasa wanategemea sana ruzukuSoko lao gumu wapi?.Maana hao soko lao wanalilenga kwao kwanza.Uku nyie mtakuja kupata matoleo mengine badae kwajinsi watakavyoona muitikio.Hiyo kampuni ni kubwa sana uchina