Download play store Google kwa kutumia browser utafaidi sana mi nilikuwa nayo toka 2014 ilizingua mwezi juni nikapeleka kkoo nikakosa fundi anaileiweza ilikuwa inawaka ila haifiki mwisho so kwa hio miaka karibu minne nmewakubali Huawei, simu zao ni kali nikilinganisha na tecno, sumsung, HTC, nilizotumia kabla