Kahise
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 379
- 435
Ninaamini hawajalala, na ninaamini watafanya plan B, kumbuka simu yao ndiyo inayouzwa ndanii ya China.Hadi wafanikiwe kutengeneza kila kitu chao kampuni itakuwa ishakufa.
Kutengeneza chip au processor si sawa na kuzalisha juice.