HTML, CSS, Bootstrap, PHP, Javascript and Mysql for beginners

MUENDELEZO.


TABLE
-Table inakuwa na rows na columns.
-Vyumba(cell) ndani ya table zinazotoka kushoto kwenda kulia tunaviita rows na vyumba kutoka juu ndani ya table kwenda chini tunaviita columns

JINSI YA KUANDIKA TABLE KATIKA HTML
-ilikuweza kuweza kuandika table tunatimia <table> elements .
-
Ndani ya <table> element kuna kuwa na <tr> tag ambazo zitakuwa na maana ya table row. <td> ndani ya table itakuwa ina maaana ya table data.(Taarifa zinazoandikwa ndani ya table).
-Pia ndani ya table tutatumia <th> element ambayo itakuwa in maana ya table heading.

MFANO WA TABLE KATIKA Html Code.






MATOKEO YA CODE KATIKA BROWSER






SUMMARY:
-Table tuliyoandika kwanza haina muonekano mzuri kwahiyo kuna vitu tunabidi kuviongeza ili iweze kuonekana vizuri.
-Tukijifunza Css na Bootrap basi muonekano table utabadilika
-Katika code hapo za table tunaweza kuongeza width , cellpadding na cellspacing ili table yetu iweze kuonekana vizuri.
-kwenye ndani ya <table> tunaweza kubadilisha na kuongezea <table width="10" border="1" cellpadding="3" cellspacing="4"> <!-- code zinabaki kama zilivyo --> </table>
-
width , border ,cellpadding na cellspacing zinakuwa katika pixel .(tukianza css tutaelezea vizuri)


MATOKEO KATIKA BROWSER YATAKUWA.





MFANO MWINGINE WA TABLE






ILI TUWEZE KUANDIKA TABLE NA KUTUMIA COLORS KAMA KWENYE TABLE HAPO JUU.BASI TUNAHITAJIKA KUTUMIA CSS.




SOMO LINALOFUATA NI KUHUSIANA NA FORMS.
 
TUENDELEE .


FORMS





-Ilikuweza kutengeneza form katika html tunatumia <form> element.
-kulog in JF tumetumia form ,kutafuta kitu chochote google , JF ,other website tunatumia form, kujaza taarifa zako katika mtandao tunatumia form ,kujiregister pia form inatumika n.k.

AINA ZA FORM AMBAZO WEBSITE INAWEZA KUCHUKUA TAARIFA KWA MTUMIAJI.

Adding text.

-Text input(hii huwa ni mstari mmoja)
- <input> element inatumika sana kutengeneza form controls tofauti tofauti ndani ya <form> element .
-html code yake ni <input type="text" >

password input.

-Ikiwa <input> element, type attributes ina dhamani ya password. Mfano <input type="password"> itatengenezwa text box lakini characters hazitoweza kujionesha itakuwa ni single line text input.(maneno ukiandika hatakuwa yanafichwa hayaonekani)
-kuna attributes zinaweza kuongezeka kama name , placeholder , na id . name inakuja kutumika pindi mtumiaji akisubmit taarifa zake kwenda kwenye server ,placeholder ina kazi ya kudisplay maneno yaliyopo ndani yake
- Mfano <input type="password" name="namba-ya-siri" placeholder=" Ingiza neno la siri">


text area
-Inatumika pindi unapokuwa unacomment au kupost mada yenye maneno mengi katika web bage. <textarea> element inatumika kuweza kutengeneza text area .Ina open na closing tag.

Mfano wa html code:




Matokeo ya html code katika Browser




Sumarry
cols katika text area inajulisha ukubwa kwa text area . rows attribute ndani ya text area inajulisha idadi za rows text area iwe nazo.

TUTAENDELEA NA RADIO BUTTONS,CHECKBOX NA DROP DOWN LIST BOX.
 
Nakufuatilia vizuri mkuu. Kuna swali nataka kuuliza ,Je unawezaje sasa kupangilia Mfano upande wa kushoto yakae maneno ,Kulia zikae links katikati labda picha na maelezo na form chini ? Yani tunapangiliaje pangiliaje ili muonekano uwe mzuri
 
Nakufuatilia vizuri mkuu. Kuna swali nataka kuuliza ,Je unawezaje sasa kupangilia Mfano upande wa kushoto yakae maneno ,Kulia zikae links katikati labda picha na maelezo na form chini ? Yani tunapangiliaje pangiliaje ili muonekano uwe mzuri


Asante kwa swali zuri.
ukitaka kupangilia vitu katika website .Mfano kushoto kuwa na hichi ,juu ya website kuwa na hichi ,chini kuwe na hichi n.k.
ITAKUBIDI KUJIFUNZA CSS NA BOOTSTRAP. Html peke yake haiwezekani .Ndo maana mara nyingi tunasema Html and Css.
 
Sawa kaka tu akufatilia vyema ingependeza utundie group la whatsap
 
TUENDELEE.


RADIO BUTTON

- <input> element ya type="radio" inatumika ili kuweza kudisplay radio button.
HTML:
<input type="radio">
-MUHIMU CHA KUZINGATIA KATIKA RADIO BUTTON MTUMIAJI ATACHAGUA KITU KIMOJA TU KATIKA OPTION NYINGI ALIZONAZO.


Mfano wa html code.









MATOKEO KATIKA BROWSER









summary :
-katika radio button tunatumia name na value attributes.
-name
inabidi iwe ni moja kwa option zote utakazo andika,pindi user atakapo submit name itaenda kwenye server.value zinakuwa tofauti katika kila option ulizoandika,na pia itajulisha ni ipi mtumiaji(user) amechagua.
(refer the html code above.)



--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------



CHECKBOX


-<input> element inakuwa ya type="checkbox" .Checkbox mtumiaji ana uwezo wa kuchangua zaidi ya kitu kimoja tofauti na radio button.

HTML:
<input type="checkbox">

-name attribute inabidi iwe moja ya value tofauti tofauti.


Mfano wa html code.





MATOKEO KATIKA BROWSER






SUMMARY.

--Checkbox inatumika ikiwa mtumiaji atachagua kitu zaidi ya kimoja.
--inakuwa na name attribute moja sehemu zote lakini yenye value attribute tofauti tofauti kama radio button.


-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------


FILE INPUT BOX
-File input box inatumika ikiwa unahitaji user aweze kuappload file( for example image,video, mp3 , or PDF ) ,utatumia file input.
- Itakuwa na <input> element ya type="file" .



-kushoto ni html code za file kulia ni matokeo katika browser.

-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
 
Nakufuatilia sana kiongozi unaandika vitu vinaeleweka hata kama hujawahi kusoma IT. Nakusubiri uendelee na darasa.
 
Mkuu ubarikiwe sana kwa kutenga muda wako kufundisha taaluma yako kwa wengine
Niko nafatilia sanaa mkuu! Japo niko vizuri ktk programming, ila niko kwa ajili ya kuongeza maalifa zaidi mkuu
 
Mkuu mie nilisoma IT ila mwalimu wa hili somo nae alikua mbababishaji sn so hapa unavyofundisha ndo nazidi pata nondo zaidi
 
Nimeipenda hii kitu mkuu...keep it up dude..🙏🏿🙏🏿💪🏿💪🏿💪🏿
 
Uweke na mawasiliano yako ili iwe simple kukupata
 
bro Weka # zako za simu
 
Ndo nimeanza kujifunza hapa utashusha tena Lini vitu maana darasa tamu sana
 
Images zimegoma Ku display nifanyeje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…