kaburu mdogo JF-Expert Member Joined Dec 19, 2011 Posts 567 Reaction score 400 Feb 10, 2014 #1 Tafadhali kwa Mtu anaeuza aina hizo ya simu ani inbox pamoja na bei Zane ila HTC ndio nayohitaji zaidi.
Tafadhali kwa Mtu anaeuza aina hizo ya simu ani inbox pamoja na bei Zane ila HTC ndio nayohitaji zaidi.
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,226 Reaction score 44,223 Feb 10, 2014 #2 kaka Verizon ni mtandao wa simu na sio aina ya simu
NYAMALAWA Member Joined May 3, 2012 Posts 90 Reaction score 17 Feb 11, 2014 #3 Me nna HTC DESIRE a8181 bei 220,000
Mtumishi Wetu JF-Expert Member Joined Oct 12, 2010 Posts 5,711 Reaction score 1,914 Feb 11, 2014 #4 Contact Mr Noorman Ars +255688290135 or +255754290135
Iyokopokomayoko JF-Expert Member Joined Sep 15, 2011 Posts 1,785 Reaction score 444 Feb 11, 2014 #5 NYAMALAWA said: Me nna HTC DESIRE a8181 bei 220,000 Click to expand... Weka picha ambayo umeipiga wewe hiyo simu, halafu bei haishuki? imetumika muda gani au ni mpya?
NYAMALAWA said: Me nna HTC DESIRE a8181 bei 220,000 Click to expand... Weka picha ambayo umeipiga wewe hiyo simu, halafu bei haishuki? imetumika muda gani au ni mpya?
Visenti JF-Expert Member Joined Jul 24, 2008 Posts 1,025 Reaction score 333 Feb 11, 2014 #6 chief-mkwawa said: kaka Verizon ni mtandao wa simu na sio aina ya simu Click to expand... yaah ni sawasawa na kusema hTc vodacom!
chief-mkwawa said: kaka Verizon ni mtandao wa simu na sio aina ya simu Click to expand... yaah ni sawasawa na kusema hTc vodacom!
M mwaziri Member Joined Dec 15, 2012 Posts 58 Reaction score 17 Feb 11, 2014 #7 Nina HTC Legend imetumika mwezi ipo sawa haina tatizo lolote,hapa dar 220000Tshs
NYAMALAWA Member Joined May 3, 2012 Posts 90 Reaction score 17 Feb 11, 2014 #8 Ipokoyoko hebu nchek hapa 0762091812 tufanye Kazi
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,889 Reaction score 2,805 Feb 11, 2014 #9 nenda dukani utapata
V van penga Member Joined Feb 24, 2013 Posts 74 Reaction score 4 Feb 14, 2014 #10 nichek 0713 306404 ninayo HTC Verizon bei poa tu