Habari wakuu!
Natumai wataalamu wa humu ndani watanisaidia.
Nililetewa zawadi kutoka china, simu aina ya HTC desire 816t. Specifications zake zinaonesha ina uwezo wa GSM, WCDMA mpaka 4G LTE networks. Na kwenye mobile network settings nimeselect option ya GSM/WCDMA auto, lakini muda wote simu inaconnect to Edge. Sijui tatizo lipo wapi. Tafadhali mwenye kujua sababu inaweza kuwa nini na zaidi, solution yake.
Nina imani hapakosi solution jukwaa hili kama ilivyo ada.
Asanteni.
Natumai wataalamu wa humu ndani watanisaidia.
Nililetewa zawadi kutoka china, simu aina ya HTC desire 816t. Specifications zake zinaonesha ina uwezo wa GSM, WCDMA mpaka 4G LTE networks. Na kwenye mobile network settings nimeselect option ya GSM/WCDMA auto, lakini muda wote simu inaconnect to Edge. Sijui tatizo lipo wapi. Tafadhali mwenye kujua sababu inaweza kuwa nini na zaidi, solution yake.
Nina imani hapakosi solution jukwaa hili kama ilivyo ada.
Asanteni.