Tokea nijiunge na jf, nimetokea kutumia PC siku moja tu na nilijaribu nikajaribu kuitafuta hiyo pm. Mh! Sikuoina pa wala am, nikabaki kuangalia avatar tu, nazo zilikuwa na maajabu yake kwangu. Kumbe nakosa mengi mwenzenu na naogopa kuja kuweka topic ambayo itabidi watu wani am au wani pm.