Mosahe Member Joined Feb 22, 2017 Posts 67 Reaction score 33 Mar 31, 2017 #1 Naomba mwenye kujua namna ya ku unroot device anisaidie ili ni unroot simu yangu niweze kutumia new m pesa app
Naomba mwenye kujua namna ya ku unroot device anisaidie ili ni unroot simu yangu niweze kutumia new m pesa app
jimmymziray JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 816 Reaction score 515 Apr 1, 2017 #2 Ulijifunza kunya kabla ya kujifunza kutawadha, ushakunya sasa wacha mavi yakunukie
New Nytemare JF-Expert Member Joined Dec 15, 2011 Posts 3,436 Reaction score 2,665 Apr 1, 2017 #3 tumia io io king root..
SOSDANNY JF-Expert Member Joined Feb 17, 2013 Posts 453 Reaction score 446 Apr 1, 2017 #4 Mosahe said: Naomba mwenye kujua namna ya ku unroot device anisaidie ili ni unroot simu yangu niweze kutumia new m pesa app Click to expand... Mimi nafikiri hiyo application INA shida mimi Simu yangu sijajua root lakini application ina sema ni unroot device nikashangaa, nafikiri vodacom waiangalie vizuri hiyo application haiko sawa au bado haijakaa vizuri kwa matumizi.
Mosahe said: Naomba mwenye kujua namna ya ku unroot device anisaidie ili ni unroot simu yangu niweze kutumia new m pesa app Click to expand... Mimi nafikiri hiyo application INA shida mimi Simu yangu sijajua root lakini application ina sema ni unroot device nikashangaa, nafikiri vodacom waiangalie vizuri hiyo application haiko sawa au bado haijakaa vizuri kwa matumizi.
Comfort Barry Member Joined Sep 28, 2014 Posts 39 Reaction score 21 Apr 1, 2017 #5 jimmymziray said: Ulijifunza kunya kabla ya kujifunza kutawadha, ushakunya sasa wacha mavi yakunukie Click to expand... [emoji23] [emoji23] [emoji23]
jimmymziray said: Ulijifunza kunya kabla ya kujifunza kutawadha, ushakunya sasa wacha mavi yakunukie Click to expand... [emoji23] [emoji23] [emoji23]
uludodi JF-Expert Member Joined May 23, 2014 Posts 576 Reaction score 915 Apr 6, 2017 #6 Mosahe said: Naomba mwenye kujua namna ya ku unroot device anisaidie ili ni unroot simu yangu niweze kutumia new m pesa app Click to expand... Ulitumi ipi kingroot?
Mosahe said: Naomba mwenye kujua namna ya ku unroot device anisaidie ili ni unroot simu yangu niweze kutumia new m pesa app Click to expand... Ulitumi ipi kingroot?