Kila ukidownload kwa torrent click properties then copy wale tracker, kama mimi ninao tracker zaid ya 100 au unaweza wagoogle hao tracker utawapata wengi.
Ukishapata tracker ukiwa unadownload jaribu kupaste hao tracker then inaweza ongeza speed japo si 100 % true. Hii inasaidia kama same file limekua uploaded web nyengine ya torrent
Mkuu pamoja na maelezo mazuri ya chief mkwawa.... just google hiyo title yako, utapata maelezo kibao pamoja na youtube video za kueleza namna ya kufanya
Mkuu pamoja na maelezo mazuri ya chief mkwawa.... just google hiyo title yako, utapata maelezo kibao pamoja na youtube video za kueleza namna ya kufanya