how to convert word document to PDF file

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,828
wadau tusichakane!habu naomba haka kaujuzi kwani kuna presentation nataka kufanya
 
Google utapata software kibaoo tena free
 
wadau tusichakane!habu naomba haka kaujuzi kwani kuna presentation nataka kufanya

mkuu...ukisha fungua hilo file na microsoft word nenda click file then save as ..hapo ndo unachagua format ya kusevia..iwe pdf au yoyote uitakayo
 
Download software za kufanya conversion..mfano nitro pdf then ndo uconvert .hyo doc. yako to pdf
 
asanteni wadau!nitwapa matokeo kwa sasa niko offline
 
mkuu...ukisha fungua hilo file na microsoft word nenda click file then save as ..hapo ndo unachagua format ya kusevia..iwe pdf au yoyote uitakayo

Ntaijaribu kesho na ntakupa jibu
 
Mkuu kama unatumia word 2007, ni rahisi sana, click kwenye office button, halafu chagua save as PFF or XPS halafu kwenye save as type hakikisha ipo PDF.
 
Bila shaka hatutachekwa! kwa anayejua atusaidie pia na namna ya kubadili PDF kuwa word.Kwani binafsi imekuwa ikiniwia vigumu sana katika compyuta yangu inapofika kwamba natakiwa kufungua pdf file,huwa hayafunguki kabisa na sijajua tatizo litakuwa nini.Tafadhari wana JF(mnaojua) mtusaidie
wadau tusichakane!habu naomba haka kaujuzi kwani kuna presentation nataka kufanya
 
mkuu...ukisha fungua hilo file na microsoft word nenda click file then save as ..hapo ndo unachagua format ya kusevia..iwe pdf au yoyote uitakayo

asante mkuu nikifanikiwa nitalujulisha!
 
wadau tusichakane!habu naomba haka kaujuzi kwani kuna presentation nataka kufanya

kubadili word kuwa pdf

program za Libre office (zamani open office),
microsoft office kuanzia 2010 na kuna addon
ya foxit reader,
zinakuwezesha moja kwa moja kusave file
lako kama pdf
kwa ambao wana njia zingine wanaongeze
hapa

source: https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/486533-jinsi-ya-kubadili-faili-la-pdf-kwenda-word.html
 
Je kompyu yako ina Adobe reader?ukiwa na Adobe reader utasoma docs zozote ilizo kwa PDF
 
Kompyuta yangu haina adobe reader mkuu Mfianchi,nafanyaje kupata/kuweka adobe reader katika kompyuta yangu?
Je kompyu yako ina Adobe reader?ukiwa na Adobe reader utasoma docs zozote ilizo kwa PDF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…