Kuna kesi huko Marekani ya Mtuhumiwa fulani FBI wameshindwa kuhack iPhone ya Mtuhumiwa ili kupata ushahidi wa SMS na Simu,Mahakama ikaamuru kampuni ya Apple watoe details za mteja wao Boss aw Apple akasema hata wao wenyewe hawawezi hadi Mtuhumiwa atoe password.