Ndo maana amesema professionals.
Naona hawa watu wake wanahitaji business agreement, hawana shida ya human relationships.
Mi naona ni sawa kabisa kuandikiana mkataba.
ubaya wa mapenzi, yana raha na karaha sana, kwani unauacha wazi moyo wako tayari kwa kutumiwa na mtu mwingnine atakavyo.