How I Met My Wife

Mkuu ungeelezea kwa urefu kidogo kwenye hiyo mechi mbovu ulivyo tuaibisha kama taifa ulipokuwa Uk
 
Da ndo imeisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iv huyo jamaa mwingine nae anakausha kuweka story ili apime upepo kama inapendwa kama ya Kigga??
Acha hizo pigo aisee kama huwek acha kabisa or weka iishe
 
Sijawahi kuwaza abt ndoa na Nasra. Ila hua nainjoi sana nikiwa nae (sio sex tu) ila hata namna anavyojiweka akiwa na mm. Tunachowaza na Nora ni kumpa space kidogo ili ajichanganye kwa baharia mwingine
Na haujawahi hata kutamani kumuoa nasra? Ingawa nahisi kwa Nora hupindui bro

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…