Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
- Thread starter
-
- #21
kweli naona watu wanakupenda ili uweze kuishi vema na mpenzi wako. Jitahidi kupiga mswaki kabla haujalala.
Sita kwa tisaNataka kujua hili wana JF ili nisimkwaze Partner wangu coz huwa analalamika sijui kulala fresh!!!Nipe hizo Styles Bandugu!!
Inawezekana huwa unajitanua kitanda kizima, au unamtupia miguu tumboni, au huwa unakoroma na kudondosha udenda. jaribu kulala nae mzungu wa nne leo uone kama kesho atakusema tena.
Nakuchagulia hii
Sio mswaki tuu, kama umerudi late na hujaoga basi usisahau kuosha vikwapa pia, maana harufu yake inaweza haribu ladha ya style yoyote ya kulala (kuna wenye harufu mbaya kuliko hata gari la nyonya mavi
mmh kuna watu wanakoroma jaman ahh...sasa umpate ashalewa au kawaida tu dah kuna njemba zinakoroma utadhani simba yupo apo dirishani..afu anataka kukukumbatia ahh mbona utataman kuhamia uvungun...KWAN WE UNAKOROMA KAKA\/b4 sjakushauri posishonoooo ya malalo!!!!!!
mmh kuna watu wanakoroma jaman ahh...sasa umpate ashalewa au kawaida tu dah kuna njemba zinakoroma utadhani simba yupo apo dirishani..afu anataka kukukumbatia ahh mbona utataman kuhamia uvungun...KWAN WE UNAKOROMA KAKA\/b4 sjakushauri posishonoooo ya malalo!!!!!!
Heee wewe akilala mzungu wa nne si ndo atampiga mwenzie mateke ya mdomoni, unataka mtoto wa watu aamke hana meno.Inawezekana huwa unajitanua kitanda kizima, au unamtupia miguu tumboni, au huwa unakoroma na kudondosha udenda. jaribu kulala nae mzungu wa nne leo uone kama kesho atakusema tena.
Kama ni hivyo naungana na Poet, au pia inawezekana unalala kama uko peke yako kitandani, maana kuna wanawake wengine wanapenda mpumuliane, au mkumbatiane usiku kucha. Ila ungetuambia huwa unalalaje ingetusaidia zaidi kuona hizo kasoro
Lala bila Nguo yeyote! Tumia Mouthwash na kabla ya kulala piga Mswaki
Hapo ndo umekuja na JIBU kiongozi!!!Let me CHUZ sijui ni2mie style za wale jamaa wa ZENJI??!!
Thanks Rev!! Nimeipenda hiyo na ntaitumia!!!
Eee ndo zipi tena, lala ukiwa umepiga magoti.
Jaribu hiyo style ila usiwe umevaa kitu. Utalala mpaka basi.