How BBC HARDTALK Destroyed Ruto's 2022 presidential race

Sio eti tuna 'sides' ila baada ya ile handshake ya rais U.K. na RAO Kenya kumekuwa na umoja wa aina yake, kwenye nyanja zote. Hakuna mkenya mida hii ambaye ana hamu ya kuona jahazi likuyumba yumba. Tafuta hiyo interview ya Hardtalk, utaona Hustler anavodai kwamba yeye pekee yake ndiye anayewindwa ila hakani madai hayo ya ufisadi kwa nguvu zake zote kama inavostahili. Yaani ni jipu hatari ambalo lazima litumbuliwe kwa umakini. Watch this space.
Msisahau mnadaiwa 'deni' hapo Central

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msisahau mnadaiwa 'deni' hapo Central

Sent using Jamii Forums mobile app
Jombaa, sioni kama unaelewa siasa za Kenya. Mimi sio mzawa wa central wala sijaishi central. Kuna comment zangu kwenye nyuzi za hapo awali nilikuwa nampigia DP Ruto debe, tena sana. Ila siasa za Kenya sasa hivi zinabadilika na kuwa based na utendaji kazi wa kila kiongozi kivyake. Hustler amekuwa dissappointing kwenye viashiria vyote vya uongozi unaofaa. Sio kwa tuhuma za ufisadi dhidi yake pekee yake. Kuna hii issue ya kupiga kampeni kila uchao, mbele ya muda wa kampeni kuwadia. Sio siri pia kwamba amekuwa kikwazo kikubwa kwa kila hatua ya mabadiliko yanayoendelea Kenya, na yupo ndani ya serikali. Amini usiamini hata kwa wafuasi wa Jubilee kule hometurf kwa Ruto, maeneo ya Eldoret, sasa hivi nyota ya Raila Odinga inazidi kung'aa zaidi ya Hustler.
 
Jombaa, sioni kama unaelewa siasa za Kenya. Mimi sio mzawa wa central wala sijaishi central. Kuna comment zangu kwenye nyuzi za hapo awali nilikuwa nampigia DP Ruto debe, tena sana. Ila siasa za Kenya sasa hivi zinabadilika na kuwa based na utendaji kazi wa kila kiongozi kivyake. Hustler amekuwa dissappointing kwenye viashiria vyote vya uongozi unaofaa. Sio kwa tuhuma za ufisadi dhidi yake pekee yake. Kuna hii issue ya kupiga kampeni kila uchao, mbele ya muda wa kampeni kuwadia. Sio siri pia kwamba amekuwa kikwazo kikubwa kwa kila hatua ya mabadiliko yanayoendelea Kenya, na yupo ndani ya serikali. Amini usiamini hata kwa wafuasi wa Jubilee kule hometurf kwa Ruto, maeneo ya Eldoret, sasa hivi nyota ya Raila Odinga inazidi kung'aa zaidi ya Hustler.
Nazijua siasa za Kenya ingawa siwezi kusema ni mahiri sana. Hivi Kenya Mtu mwenye tuhuma za ufisadi inaweza kuwa kikwazo kikubwa kuwa Rais au ni namna atakavyopata uungaji mkono.

Uhuru familia yake ina makandokando ya uchafu na yeye akiwa mfaidika lakini kawa Rais kwa sababu alicheza karata vizuri kuungwa mkono na blocks zote muhimu.


Leo kama Uhuru na Uthamaki, na Wanasiasa wawili wakubwa kutoka Western (nawapenda Waluyha, wana kiasi kidogo cha ubinafsi) wakimuunga mkono Rutho atachukua kiti mapema asubuhi. Unasema Eldoreth nini? Hizo ni mbwembwe tu kama alivyofanyiwa Peter Keneth (Rais wa social media) ilipofika kwenye sanduku la kura akala za uso.

Halafu mambo ya siasa Wananchi mnakuwa wa mwisho kufanya maamuzi, wakubwa wakikaa wenyewe wakaamua hamtapinga chochote.

Haina maana namuona Ruto wa maana, hapana, ni aina ya wanasiasa mafisadi na wasiokuwa hata na aibu.

Mwaka 2003 nilisoma historia ya Mkuu wa Ujasusi, marehemu Joseph Kanyotu, hapo pia utajua mengi yanayofanyika boardroom.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uzito mkubwa nyuma ya Ruto unaomsukuma na kumuaminisha ndio maana hana chembe ya hofu,uzito huo hapa nyumbani tuliuona wachafu walisafichwa na wakang'aa kabisa.
 
Kuna uzito mkubwa nyuma ya Ruto unaomsukuma na kumuaminisha ndio maana hana chembe ya hofu,uzito huo hapa nyumbani tuliuona wachafu walisafichwa na wakang'aa kabisa.
Kabisa.
Ana nguvu kubwa sana nyuma yake. Ila ni fisadi asiye na aibu kabisa! Nafikiri akiamini mbona akina Uhuru na wengine wamepiga kwa nini mimi iwe nongwa.

Ila kama kuna kosa Wakenya watafanya ni kumchagua huyu, kwanza itamaanisha hata ukiwa fisadi 'wazi' una kinga pili kwamba uongozi ni baina ya jamii mbili (jamii=kabila)!

Lakini mwisho wa siku Rais anaweza kuamuliwa mezani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaitwa Arap Mashamba, ukweli usemwe tu, huyu jamaa hata mtoto ambaye amezaliwa jana anafahamu vizuri kwamba ni fisadi kupindukia. Acha niachie hapo, nikifafanua zaidi wataanza kusema kwamba mimi ni mkabila.
Ana urafiki wa karibu sana Mzee Kikwete
 
Uhuru na familia wameiba mengi sana kumshinda ruto ila uhuru na kikuyu wametumia serikali na vyombo vya habari kumchafua ruto jina.
 
Kwa sasa Ruto hana mpinzani kwenye debe 2022. I love the way Tanzanians follow our politics.... Bado sijapata jina la makamu wa raise Tz.
 

Asante kwa kuniita, ila binafsi hizi siasa za 2022 imebidi niziweke pembeni maana kuna mkanganyiko usioeleweka, haswa baada ya rais Uhuru kumteua jembe Matiang'i kuwa mkuu wa miradi yote ya serkali na kiongozi wa mawaziri wote, sijajua hii picha anaichora vipi au lengo lake, tusubiri picha kamili itaanza kujitokeza mwaka ujao, lakini ifahamike kwa sasa sio rahisi kumfutilia mbali Ruto kisa kahojiwa na BBC. Kwanza kabisa mnafaa mfahamu hayo mahojiano aliyataka sana ili aweze kuweka sawa baadhi ya tuhuma zinazomkabili, jamaa huwa mjanja sana, anajua kugeuza kila hali.

Ruto anafahamika kama mfisadi, hilo hawezi kulifuta maana ametuhumiwa sana, sema anajua kucheza karata za kisiasa kiasi kwamba kila tope analotupiwa huligeuza na kuwa kombora dhidi ya wanaomshambulia. Kwa sasa yeye ndiye mwenye nafasi kubwa ya kuongoza hii nchi, maana tayari serikali au dola ipo mikononi mwake kama naibu wa rais.

Wengi tunategemea patashika moja kali sana baina ya Ruto na Raila, japo kwa Raila sijui vipi amejipanga haswa baada ya kukunwa na uongozi kwenye AU, akijitosa ulingoni basi patakua na huo ushindani, lakini akighairi basi Ruto atakua na kazi rahisi sana kuingia ikulu.

Kwa sasa kura yangu ipo kwa yeyote atakayemsaidia rais Uhuru kufanikisha 'big four' yake
- Raila amemuunga mkono na hampi tabu, amempa rais nafasi afanye yake bila usumbufu
- Ruto kila siku anaongea kuhusu hii big four, ameonyesha kwa kila hali yeye yupo ndani
- Matiang'i ndiye anategemewa kama kapteni kwenye kufanikisha big four

Hapo sasa hadi mwaka ujao ndio tutajua hii picha vipi, nani starring na nani villain....
 
Jombaa, sioni kama unaelewa siasa za Kenya. Mimi sio mzawa wa central wala sijaishi central. Kuna comment zangu kwenye nyuzi za hapo awali nilikuwa nampigia DP Ruto debe, tena sana. Ila siasa za Kenya sasa hivi zinabadilika na kuwa based na utendaji kazi wa kila kiongozi kivyake. Hustler amekuwa dissappointing kwenye viashiria vyote vya uongozi unaofaa. Sio kwa tuhuma za ufisadi dhidi yake pekee yake. Kuna hii issue ya kupiga kampeni kila uchao, mbele ya muda wa kampeni kuwadia. Sio siri pia kwamba amekuwa kikwazo kikubwa kwa kila hatua ya mabadiliko yanayoendelea Kenya, na yupo ndani ya serikali. Amini usiamini hata kwa wafuasi wa Jubilee kule hometurf kwa Ruto, maeneo ya Eldoret, sasa hivi nyota ya Raila Odinga inazidi kung'aa zaidi ya Hustler.
Hata nyota ya Raila ing'ae kama theluji,hawezi akawa Rais wa Kenya,you can take that to the bank.#Teamtangatanga dynasties tunamaliza this time round.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa.
Ana nguvu kubwa sana nyuma yake. Ila ni fisadi asiye na aibu kabisa! Nafikiri akiamini mbona akina Uhuru na wengine wamepiga kwa nini mimi iwe nongwa.

Ila kama kuna kosa Wakenya watafanya ni kumchagua huyu, kwanza itamaanisha hata ukiwa fisadi 'wazi' una kinga pili kwamba uongozi ni baina ya jamii mbili (jamii=kabila)!

Lakini mwisho wa siku Rais anaweza kuamuliwa mezani

Sent using Jamii Forums mobile app
Sioni kitakacho wazuia wakenya kumpigia Ruto Kura ,kama waliweza kuwapigia 2013 na Ile kesi ya jinai ,sasa iwe Tu hii ya ufisadi? Ambayo sio ya kweli ,hao watu wote wanampinga Ruto cause he is very strong and Raila was very smart akajoin Uhuru mapema ili wajaribu kuvunja Ruto from inside angechelewa tu kidogo hawangeweza huyu muungwana nevertheless Ruto is playing his cards from his chest Ile siku ataziachilia mtaona kivumbi cha ajabu.#Aishajumwa Malindi forever,Joho na vimbwa vyake anavyovituma kuja kubwekabweka hapa Malindi Kwa sababu ya ule unga ambao anawapa hataweza kucomand respect from mijikenda community#teamtangatanga,we are Africans and Africa is our business.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikuyu wasipolipa deni safari ya Ruto kwenda ikulu itakuwa ngumu ajabu.If Kikuyu switch loyalty embracing Luo,coast ODM ,milembe nation is likely to gravitate to ODM kuliko Northrift ,Ruto ataegemea wapi?
 
Bado sijapata jina la makamu wa raise Tz.
Samia suluhu hassan


IMG_20190215_105617.jpeg
IMG_20190215_105607.jpeg
 
Naona wanaJamiiForums wa-Kenya halisi wamekimbia kuja kujadili ufisadi. Wengine wachache waliojitokeza wanasema wanaogopa wanasema lebo ya 'ukabila' itatumika hivyo hawataki kuchangia mawazo.

Tuwakumbushe ndugu zetu kuwa Jukwaa la JamiiForums ni salama, unaweza kujadili bila hofu kuwa utafuatiliwa au ID yako kuvuliwa 'mask' na kuwekwa hadharani.
Angalia mahojiano kwa habari za Kenya, kila mtu anadai Ruto ni fisadi Kenya, hapo hakuna siri.....

Deputy President William Ruto, Kirinyaga Governor Anne Waiguru, and retired President Daniel Moi have been ranked as the top three most corrupt leaders according to the latest opinion poll conducted by Ipsos.
According to the survey, DP Ruto ranks number one on the list as he garnered 33 percent of the votes by Kenyans.
Ms. Waiguru, the former Devolution and Planning Cabinet Secretary comes in second place with 31 percent of the population expressing a belief that she is corrupt.
Meanwhile, 17 percent of Kenyans believe that Mzee Moi is a corrupt leader.
President Uhuru Kenyatta, former President Mwai Kibaki, and Opposition leader Raila leader were also mentioned in the survey as corrupt leaders by 5 percent of those surveyed.
The polls come at a time when President Kenyatta has revamped his fight against corruption after vowing that the vice must come to an end.
After the tough declaration Kenyans have witnessed the arrest of several high-ranking officials including Busia Governor Sospeter Ojaamong and former Nairobi Governor Evans Kidero. However, there have been zero convictions.
The study further indicated 73 percent of Kenyans do not believe that those implicated in corruption will be convicted while 51 percent say that Mr. Kenyatta fight against corruption is a sincere one.
Ruto and Waiguru ranked most corrupt leaders - Ipsos poll
 
Kwa sasa Ruto hana mpinzani kwenye debe 2022. I love the way Tanzanians follow our politics.... Bado sijapata jina la makamu wa raise Tz.

hahahaaa.. tunafuatilia ili kujifunza.. maana ndugu zetu mmefanya makosa mengi sana so inatubidi tuwe macho ili tusije kuingia kwenye mkenge kama mlioungia.. naamini Nyerere alijifunza sana kwa Kenyatta miaka ile ndo maana leo Tanzania tuna umoja na mshikamano.

Ni ngumu kuwafahamu viongozi wa Tanzania maana wao kazi yao kubwa ni kutumikia wananchi sio kukesha kwenye media kwa siasa za uchaguzi..
 
Back
Top Bottom