Houth wanachezea Shurubu za Simba!!

Hiyo nchi sio yakuishi kwani Wazungu wamekosa Seem ya kuishi mbona kama wanadhalilika sana,, au nimimi tu ndio nawaza ivyo.
Sababu hujielewi,unaona hiyo nchi haifai huku ukiendelea kuishi nchi ya CCM.
 
Siku israel akioigana na nchi zenye jeshi lamaana kama uturki na iran ndo unaweza kufanya mlinganusho na sio hivyo vikundi
 
Mtu kachomoa betri..

Yemen denies there were Israeli airstrikes targeting Ras Isa oil port - report​

Rather than an airstrike, an explosion at the port occurred after a tanker carrying fuel exploded.​

By JERUSALEM POST STAFFMAY 10, 2025 02:30Updated: MAY 10, 2025 03:22
 
Eti failed state we ulienda Yemen au ni nyimbo za kanisani hizo. Vipi failed state kaweza kuwapigisha magoti USA hivi USA akitwanga Tanzania mda wa mwezi tu si mtaishia kula ugali wa yanga tu.
 
Umempa za uso!! Mwenye masikio na asikie ukweli uliompa!!
 
Siku israel akioigana na nchi zenye jeshi lamaana kama uturki na iran ndo unaweza kufanya mlinganusho na sio hivyo vikundi
Iran kapigwa na aliahidi The Promise-3 lakini kaona mlima mrefu kaamua kuiterekeza hiyo The Promise-3 kwa sababu anajua kitakachomtoka!!!
Hata sasa hivi dawa yake iko jikoni inatokota ikiwa tayari atanyweshwa atake asitake!!
 
Wajinga mtawadanyana sana tu!! Ukweli Wahouth wenyewe wanajua maumivu waliyonayo!!!
 
Eti failed state we ulienda Yemen au ni nyimbo za kanisani hizo. Vipi failed state kaweza kuwapigisha magoti USA hivi USA akitwanga Tanzania mda wa mwezi tu si mtaishia kula ugali wa yanga tu.
Endelea kujitoa ufahamu!!
 
Ndio ni wewe tu ndio unawaza hayo kwani hata waarabu unaoabudu utamaduni wao leo hii hawana hayo mawazo.
Daaah! Kumbe uislam ni utamaduni wa kiarabu? Kwa hiyo mtu mweusi kuwa muislamu ni sawa na mmasai kuwa mzalamo sio?
 
Kuna watu broo vita ni kawaida na maisha yanaendelea vingo'ra vikilia wanaingia kwa Mashimo dk 10 wapi sokoni
 
Akikutajia nijulishe niko pale nakunywa Kahawa chungu!!!
 
Ndio ni wewe tu ndio unawaza hayo kwani hata waarabu unaoabudu utamaduni wao leo hii hawana hayo mawazo.
Mwarabu yupi mm simwabudu mwarabu kabisa!!!! Ndio ukaona nww umwabudu Mzungu!!!!!!!!! Haaaaaaa sasa nimeelewaa!!
 
Ndio ayo maisha wanayoishi mbiooo mbiooo kila dkk kwenye mashimo kama panya au yule ngili kasongo yeyeee!!!!!

Maisha gani yale apana afadhali CCM imetuakikishia Usalama !!!!

imekuwa kama ukipita pembeni ya Beach baharini utawaona Crabs au ngandu wakikimbia mbio kuelekea kwenye maji sasa Taifa Teule wamekuwa kama ngadu!!!!
 
Sababu hujielewi,unaona hiyo nchi haifai huku ukiendelea kuishi nchi ya CCM.
CCM imetuakikishia Usalama nataka nn tena siwadai kitu maendeleo ni juhudi zangu mwenyewe kuukimbia umasikini !!!!

KENYA Chama cha KANU mushaKisaau lkn bado umasikini umetamalaki KENYA !!!!

Sababu Chama akiondoshi Umasikini bali niwewe mwenyewe ktk Juhudi zako!!!

moja ya Majukum ya Chama Tawala ni kukupeni Usalama wananchi wake muwe huruñ mfanye kazi zenu za maendeleo.,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…