House for sale

House for sale

Hafidhibrahim

Senior Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
142
Reaction score
32
Habar. Nyumba inauzwa ipo maeneo ya chuo kikuu mliman. Nyumba ina vyumba vnne kimoja master na chumba cha stoo na pia kuna eneo kubwa limebak kiwanja kina ukubwa wa miguu 75*35. Mawasiliano au picha whatsup 0713844841. Ahsanten
1474288803983.jpg
1474288818425.jpg
 
Hizi picha Ni nyumba mbili tofauti au Ni hiyo hiyo...maana hiyo yenye mtoto Apo nje Kama banda la uani vile (sorry, no offense)
 
Hizi picha Ni nyumba mbili tofauti au Ni hiyo hiyo...maana hiyo yenye mtoto Apo nje Kama banda la uani vile (sorry, no offense)
Kwake yeye ni nyumba.
Kwa nini mnamkatisha moyo.
Ungekuwa wewe ungejisikiaje.
Sio vizuri
 
Hizi picha Ni nyumba mbili tofauti au Ni hiyo hiyo...maana hiyo yenye mtoto Apo nje Kama banda la uani vile (sorry, no offense)
hii uku ndio nyumba na uku uwanja uliobak nyumba mbili
 
Kwake yeye ni nyumba.
Kwa nini mnamkatisha moyo.
Ungekuwa wewe ungejisikiaje.
Sio vizuri

Samahani Kama nimekukwaza ila umeona mwenyewe alichojibu kuwa Ni nyumba mbili...so siku nyingine usiogope kuuliza!
 
Naomba ufafanuzi mwenye kujua,hivi mbona matangazo mengi humu JF ya nyumba,viwanja mtu akiweka ni lazima abembelezwe kuweka bei,ni utamaduni wa humu JF au ni tabia za watu zinafanana inapofikia swala la kutangaza biashara yake?
 
Naomba ufafanuzi mwenye kujua,hivi mbona matangazo mengi humu JF ya nyumba,viwanja mtu akiweka ni lazima abembelezwe kuweka bei,ni utamaduni wa humu JF au ni tabia za watu zinafanana inapofikia swala la kutangaza biashara yake?
Utanunua kitu bila kujua bei na pia kama umeweza kuweka picha pamoja na location yake unashindwa nini kuweka bei?
 
Nyumba ipo maeneo ya chuo kikuu mlima nyumba ina room 4 kimoja master. Na pia kuna stoo moja. Ukubwa wa kiwanja miguu 75*35. Bei yake mil 350/= maongez yapo.
 
Na pia kuna nyumba nyingine ipo maeneo ya tandale tanesco nyumba ipo barabaran kabisa ina room 5 room 1 ipo juu (gorofa1) nayo pia inauzwa mil. 250/= maongez yap
 
Kwel hatar ndg nkapikwe tena
..teh hee hee..umetaka ubondia waogopa ngumi za uso?
..ndo kazi zenu hizo sheikh wangu!...10% kwa hizo nyumba mbili tu ni 60M;kiinua mgongo cha mwalimu baada ya miaka 40 ya kazi!
..sio kirahisi rahisi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom