House for sale

House for sale

..teh hee hee..umetaka ubondia waogopa ngumi za uso?
..ndo kazi zenu hizo sheikh wangu!...10% kwa hizo nyumba mbili tu ni 60M;kiinua mgongo cha mwalimu baada ya miaka 40 ya kazi!
..sio kirahisi rahisi!
Sawa kk utusaidie kuleta wateja ili tuuze
 
By any chance unauza vipande vidogo dogo? Kama 35*35?
 
Naomba ufafanuzi mwenye kujua,hivi mbona matangazo mengi humu JF ya nyumba,viwanja mtu akiweka ni lazima abembelezwe kuweka bei,ni utamaduni wa humu JF au ni tabia za watu zinafanana inapofikia swala la kutangaza biashara yake?
Akili zetu fupi,biashara isiyo na bei hadi tubembeleze ilibidi kuiacha bila kuchangia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom