GE2025 Hotuba ya Rais Samia Yaitetemesha Dunia Nzima. Wazungu Wakoshwa Na Uwezo Wake

GE2025 Hotuba ya Rais Samia Yaitetemesha Dunia Nzima. Wazungu Wakoshwa Na Uwezo Wake

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
36,354
Reaction score
23,760
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na Mungu. Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu. Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu.

Rais Samia ni Mbarikiwa . Rais wetu Mpendwa ni chaguo la Mungu. Mama yetu kipenzi ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Jemedari wetu hodari amepewa kibali na Mungu Mwenyewe. Kipawa na Karama ya uongozi aliyonayo Rais wetu ni ya ajabu sana kuwahi kushuhudiwa Barani Afrika na Duniani kwote kwa ujumla wake kwa Miaka ya hivi karibuni.

Hotuba yake ya hii leo imeitetemesha Dunia nzima na kuiacha na matumaini makubwa sana. Ni hotuba ya matumaini,ni hotuba iliyokata kiu ya wengi, ni hotuba iliyojibu matarajio ya wengi,ni hotuba iliyoonyesha kufunguliwa zaidi kwa milango ya kila mtu, ni hotuba iliyobeba majawabu ya ndoto za kila mtanzania.

Ni hotuba ambayo imemgusa kila mmoja wetu pasipo kumuacha au kumsahau yeyote yule nyuma,ni hotuba ambayo imeonyesha Rais wetu Mpendwa anajua nini watanzania wanahitaji kutoka kwake na serikali yake .ni hotuba ambayo imeonyesha njia na maana ya jasiri muongoza njia.ni hotuba ya kihistoria,ni hotuba ya karne ,ni hotuba itakayo dumu kwa miaka mingi sana kama ile ya Dkt Martin Luther king Jr ya 'I Have A Dream'.

Ni hotuba ambayo imechora ramani ,kuonyesha muelekeo na Dira kwa Taifa letu juu ya wapi RAIS wetu Mpendwa atalipeleka Taifa kimaendeleo. Ni hotuba iliyowaondoa hofu na kuwapa Matumaini na ujasiri Watanzania kuanzia akina Mama ,vijana ,wazee ,wanawake n.k.

Kwa sababu imeonyesha na kuvunja kabisa vikwazo vyote vilivyokuwa vikiwatesa watanzania kuanzia ajira kwa vijana ,gharama kubwa za matibabu kwa magonjwa makubwa ,mitaji kwa wafanyabiashara wadogowadogo. Sasa serikali yao itagharamia na kutoa matibabu bure kabisa kwa magonjwa kama vile figo,saratani ,mifupa n.k.

Pia itatoa zaidi ya Billion 200 kama mitaji kwa vijana na wafanyabishara wadogo wadogo ili waweze kukua. Itatoa ajira maelfu kwa maelfu kwa vijana .itatoa Na kuendelea kutoa Elimu bora na yenye kuwajengea uwezo vijana kuweza kushindana katika soko la ajira la kimataifa pamoja na kujiajiri wenyewe kwa kutoa ujuzi wa Kiwango cha juu kabisa.

Haya ni kwa uchache sana kwa sababu ni mengi sana ambayo yanakwenda kutekelezwa na serikali yetu chini ya Jemedari wetu hodari na Nahodha imara Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika miaka yake hii mitano ijayo.

Jambo ambalo limewakosha sana wazungu na kukonga nyoyo zao. Kwa watanzania ndio imekuwa furaha kubwa sana ndani ya mioyo yao.nyuso zao zilijawa na tabasamu,furaha na matumaini sana walipokuwa wakisikiliza na kufuatilia hotuba hiyo.

Kwa hakika Taifa limepata Rais wa viwango.Rais mwenye maono na kiu ya maendeleo. Rais mwenye akili kubwa na uwezo wa kiuongozi.Rais mwenye maarifa na upeo wa hali ya juu sana. Kwa hakika hii ni bahati kubwa sana kupata Rais wa Aina ya Rais Samia.
Screenshot_20250828-175337_1.jpg
Screenshot_20250828-203029_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na Mungu. Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu. Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu.

Rais Samia ni Mbarikiwa . Rais wetu Mpendwa ni chaguo la Mungu. Mama yetu kipenzi ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Jemedari wetu hodari amepewa kibali na Mungu Mwenyewe. Kipawa na Karama ya uongozi aliyonayo Rais wetu ni ya ajabu sana kuwahi kushuhudiwa Barani Afrika na Duniani kwote kwa ujumla wake kwa Miaka ya hivi karibuni.

Hotuba yake ya hii leo imeitetemesha Dunia nzima na kuiacha na matumaini makubwa sana. Ni hotuba ya matumaini,ni hotuba iliyokata kiu ya wengi, ni hotuba iliyojibu matarajio ya wengi,ni hotuba iliyoonyesha kufunguliwa zaidi kwa milango ya kila mtu, ni hotuba iliyobeba majawabu ya ndoto za kila mtanzania.

Ni hotuba ambayo imemgusa kila mmoja wetu,ni hotuba ambayo imeonyesha Rais wetu Mpendwa anajua nini watanzania wanahitaji kutoka kwake.ni hotuba ambayo im onyesha njia na maana ya jasiri muongoza njia.ni hotuba ya kihistoria,ni hotuba ya karne ,ni hotuba itakayo dumu kwa miaka mingi sana kama ile ya Dkt Martin Luther king Jr ya 'I Have A Dream'.

Ni hotuba ambayo imechora ramani ,kuonyesha muelekeo na Dira kwa Taifa letu juu ya wapi RAIS wetu Mpendwa atalipeleka Taifa kimaendeleo. Ni hotuba iliyowaondoa hofu na kuwapa ujasiri Watanzania kuanzia akina Mama ,vijana ,wazee ,wanawake n.k.

Kwa sababu imeonyesha na kuvunja kabisa vikwazo vyote vilivyokuwa vikiwatesa watanzania kuanzia ajira kwa vijana ,gharama kubwa za matibabu kwa magonjwa makubwa ,mitaji kwa wafanyabiashara wadogowadogo. Sasa serikali yao itagharamia na kutia matibabu bure kabisa kwa magonjwa kama vile figo,saratani ,mifupa n.k.

Pia itatoa zaidi ya Billion 200 kama mitaji kwa vijana na wafanyabishara wadogo wadogo ili waweze kukua. Itatoa ajira maelfu kwa maelfu kwa vijana .itatoa Na kuendelea kutoa Elimu bora na yenye kuwajengea uwezo vijana kuweza kushindana katika soko la kimataifa pamoja na kujiajiri wenyewe kwa kutoa ujuzi wa kuwango cha juu kabisa.

Haya ni kwa uchache sana kwa sababu ni mengi sana ambayo yanakwenda kutekelezwa na serikali yetu chini ya Jemedari wetu hodari na Nahodha imara Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika miaka yake hii mitano ijayo.

Jambo ambalo limewakosha sana wazungu na kukonga nyoyo zao. Kwa watanzania ndio imekuwa furaha kubwa sana ndani ya mioyo yao.nyuso zao zilijawa na tabasamu,furaha na matumaini sana walipokuwa wakisikiliza na kufuatilia hotuba hiyo.

Kwa hakika Taifa limepata Rais wa viwango.Rais mwenye maono na kiu ya maendeleo. Rais mwenye akili kubwa na uwezo wa kiuongozi.Rais mwenye maarifa na upeo wa hali ya juu sana. Kwa hakika hii ni bahati kubwa sana kupata Rais wa Aina ya Rais Samia.View attachment 3456649View attachment 3456650

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kaka upo TIMAMU !!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na Mungu. Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu. Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu.

Rais Samia ni Mbarikiwa . Rais wetu Mpendwa ni chaguo la Mungu. Mama yetu kipenzi ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Jemedari wetu hodari amepewa kibali na Mungu Mwenyewe. Kipawa na Karama ya uongozi aliyonayo Rais wetu ni ya ajabu sana kuwahi kushuhudiwa Barani Afrika na Duniani kwote kwa ujumla wake kwa Miaka ya hivi karibuni.

Hotuba yake ya hii leo imeitetemesha Dunia nzima na kuiacha na matumaini makubwa sana. Ni hotuba ya matumaini,ni hotuba iliyokata kiu ya wengi, ni hotuba iliyojibu matarajio ya wengi,ni hotuba iliyoonyesha kufunguliwa zaidi kwa milango ya kila mtu, ni hotuba iliyobeba majawabu ya ndoto za kila mtanzania.

Ni hotuba ambayo imemgusa kila mmoja wetu,ni hotuba ambayo imeonyesha Rais wetu Mpendwa anajua nini watanzania wanahitaji kutoka kwake.ni hotuba ambayo im onyesha njia na maana ya jasiri muongoza njia.ni hotuba ya kihistoria,ni hotuba ya karne ,ni hotuba itakayo dumu kwa miaka mingi sana kama ile ya Dkt Martin Luther king Jr ya 'I Have A Dream'.

Ni hotuba ambayo imechora ramani ,kuonyesha muelekeo na Dira kwa Taifa letu juu ya wapi RAIS wetu Mpendwa atalipeleka Taifa kimaendeleo. Ni hotuba iliyowaondoa hofu na kuwapa ujasiri Watanzania kuanzia akina Mama ,vijana ,wazee ,wanawake n.k.

Kwa sababu imeonyesha na kuvunja kabisa vikwazo vyote vilivyokuwa vikiwatesa watanzania kuanzia ajira kwa vijana ,gharama kubwa za matibabu kwa magonjwa makubwa ,mitaji kwa wafanyabiashara wadogowadogo. Sasa serikali yao itagharamia na kutia matibabu bure kabisa kwa magonjwa kama vile figo,saratani ,mifupa n.k.

Pia itatoa zaidi ya Billion 200 kama mitaji kwa vijana na wafanyabishara wadogo wadogo ili waweze kukua. Itatoa ajira maelfu kwa maelfu kwa vijana .itatoa Na kuendelea kutoa Elimu bora na yenye kuwajengea uwezo vijana kuweza kushindana katika soko la kimataifa pamoja na kujiajiri wenyewe kwa kutoa ujuzi wa kuwango cha juu kabisa.

Haya ni kwa uchache sana kwa sababu ni mengi sana ambayo yanakwenda kutekelezwa na serikali yetu chini ya Jemedari wetu hodari na Nahodha imara Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika miaka yake hii mitano ijayo.

Jambo ambalo limewakosha sana wazungu na kukonga nyoyo zao. Kwa watanzania ndio imekuwa furaha kubwa sana ndani ya mioyo yao.nyuso zao zilijawa na tabasamu,furaha na matumaini sana walipokuwa wakisikiliza na kufuatilia hotuba hiyo.

Kwa hakika Taifa limepata Rais wa viwango.Rais mwenye maono na kiu ya maendeleo. Rais mwenye akili kubwa na uwezo wa kiuongozi.Rais mwenye maarifa na upeo wa hali ya juu sana. Kwa hakika hii ni bahati kubwa sana kupata Rais wa Aina ya Rais Samia.View attachment 3456649View attachment 3456650

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi mtu wa aina hii ana akili timamu kweli?. Taka taka kabisa.
 
Mna Presha sana.. Ila fundi wenu atakuja soon
FB_IMG_17548290522474911.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na Mungu. Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu. Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu.

Rais Samia ni Mbarikiwa . Rais wetu Mpendwa ni chaguo la Mungu. Mama yetu kipenzi ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Jemedari wetu hodari amepewa kibali na Mungu Mwenyewe. Kipawa na Karama ya uongozi aliyonayo Rais wetu ni ya ajabu sana kuwahi kushuhudiwa Barani Afrika na Duniani kwote kwa ujumla wake kwa Miaka ya hivi karibuni.

Hotuba yake ya hii leo imeitetemesha Dunia nzima na kuiacha na matumaini makubwa sana. Ni hotuba ya matumaini,ni hotuba iliyokata kiu ya wengi, ni hotuba iliyojibu matarajio ya wengi,ni hotuba iliyoonyesha kufunguliwa zaidi kwa milango ya kila mtu, ni hotuba iliyobeba majawabu ya ndoto za kila mtanzania.

Ni hotuba ambayo imemgusa kila mmoja wetu,ni hotuba ambayo imeonyesha Rais wetu Mpendwa anajua nini watanzania wanahitaji kutoka kwake.ni hotuba ambayo im onyesha njia na maana ya jasiri muongoza njia.ni hotuba ya kihistoria,ni hotuba ya karne ,ni hotuba itakayo dumu kwa miaka mingi sana kama ile ya Dkt Martin Luther king Jr ya 'I Have A Dream'.

Ni hotuba ambayo imechora ramani ,kuonyesha muelekeo na Dira kwa Taifa letu juu ya wapi RAIS wetu Mpendwa atalipeleka Taifa kimaendeleo. Ni hotuba iliyowaondoa hofu na kuwapa ujasiri Watanzania kuanzia akina Mama ,vijana ,wazee ,wanawake n.k.

Kwa sababu imeonyesha na kuvunja kabisa vikwazo vyote vilivyokuwa vikiwatesa watanzania kuanzia ajira kwa vijana ,gharama kubwa za matibabu kwa magonjwa makubwa ,mitaji kwa wafanyabiashara wadogowadogo. Sasa serikali yao itagharamia na kutia matibabu bure kabisa kwa magonjwa kama vile figo,saratani ,mifupa n.k.

Pia itatoa zaidi ya Billion 200 kama mitaji kwa vijana na wafanyabishara wadogo wadogo ili waweze kukua. Itatoa ajira maelfu kwa maelfu kwa vijana .itatoa Na kuendelea kutoa Elimu bora na yenye kuwajengea uwezo vijana kuweza kushindana katika soko la kimataifa pamoja na kujiajiri wenyewe kwa kutoa ujuzi wa kuwango cha juu kabisa.

Haya ni kwa uchache sana kwa sababu ni mengi sana ambayo yanakwenda kutekelezwa na serikali yetu chini ya Jemedari wetu hodari na Nahodha imara Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika miaka yake hii mitano ijayo.

Jambo ambalo limewakosha sana wazungu na kukonga nyoyo zao. Kwa watanzania ndio imekuwa furaha kubwa sana ndani ya mioyo yao.nyuso zao zilijawa na tabasamu,furaha na matumaini sana walipokuwa wakisikiliza na kufuatilia hotuba hiyo.

Kwa hakika Taifa limepata Rais wa viwango.Rais mwenye maono na kiu ya maendeleo. Rais mwenye akili kubwa na uwezo wa kiuongozi.Rais mwenye maarifa na upeo wa hali ya juu sana. Kwa hakika hii ni bahati kubwa sana kupata Rais wa Aina ya Rais Samia.View attachment 3456649View attachment 3456650

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pil
Mwanzoni nilifikiri wewe ni kada wa kweli wa CCM kama Mimi.

Kumbe ni mtu wa mizaha kama unafanya futuhi.

Huwezi kumdhihaki Mwenyekiti wetu na Rais wa nchi kiasi hicho.

Ukome tabia hiyo.
 
Hivi Samia akikumbuka ile ibara ya Katiba iliyomwezesha kupata urais atakuwa anajisikiaje.

Maana ni hiyo hiyo inayoweza kumwezesha Nchimbie kuchukua uraisi.

Hiyo ibara inaogofya kwa Rais aliyeko madarakani na inatamanisha kwa Makamu wa Rais.
 
Mwanzoni nilifikiri wewe ni kada wa kweli wa CCM kama Mimi.

Kumbe ni mtu wa mizaha kama unafanya futuhi.

Huwezi kumdhihaki Mwenyekiti wetu na Rais wa nchi kiasi hicho.

Ukome tabia hiyo.
CCM haina wanachama aina yako wasio jitambua.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na Mungu. Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu. Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu.

Rais Samia ni Mbarikiwa . Rais wetu Mpendwa ni chaguo la Mungu. Mama yetu kipenzi ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Jemedari wetu hodari amepewa kibali na Mungu Mwenyewe. Kipawa na Karama ya uongozi aliyonayo Rais wetu ni ya ajabu sana kuwahi kushuhudiwa Barani Afrika na Duniani kwote kwa ujumla wake kwa Miaka ya hivi karibuni.

Hotuba yake ya hii leo imeitetemesha Dunia nzima na kuiacha na matumaini makubwa sana. Ni hotuba ya matumaini,ni hotuba iliyokata kiu ya wengi, ni hotuba iliyojibu matarajio ya wengi,ni hotuba iliyoonyesha kufunguliwa zaidi kwa milango ya kila mtu, ni hotuba iliyobeba majawabu ya ndoto za kila mtanzania.

Ni hotuba ambayo imemgusa kila mmoja wetu,ni hotuba ambayo imeonyesha Rais wetu Mpendwa anajua nini watanzania wanahitaji kutoka kwake.ni hotuba ambayo im onyesha njia na maana ya jasiri muongoza njia.ni hotuba ya kihistoria,ni hotuba ya karne ,ni hotuba itakayo dumu kwa miaka mingi sana kama ile ya Dkt Martin Luther king Jr ya 'I Have A Dream'.

Ni hotuba ambayo imechora ramani ,kuonyesha muelekeo na Dira kwa Taifa letu juu ya wapi RAIS wetu Mpendwa atalipeleka Taifa kimaendeleo. Ni hotuba iliyowaondoa hofu na kuwapa ujasiri Watanzania kuanzia akina Mama ,vijana ,wazee ,wanawake n.k.

Kwa sababu imeonyesha na kuvunja kabisa vikwazo vyote vilivyokuwa vikiwatesa watanzania kuanzia ajira kwa vijana ,gharama kubwa za matibabu kwa magonjwa makubwa ,mitaji kwa wafanyabiashara wadogowadogo. Sasa serikali yao itagharamia na kutia matibabu bure kabisa kwa magonjwa kama vile figo,saratani ,mifupa n.k.

Pia itatoa zaidi ya Billion 200 kama mitaji kwa vijana na wafanyabishara wadogo wadogo ili waweze kukua. Itatoa ajira maelfu kwa maelfu kwa vijana .itatoa Na kuendelea kutoa Elimu bora na yenye kuwajengea uwezo vijana kuweza kushindana katika soko la kimataifa pamoja na kujiajiri wenyewe kwa kutoa ujuzi wa kuwango cha juu kabisa.

Haya ni kwa uchache sana kwa sababu ni mengi sana ambayo yanakwenda kutekelezwa na serikali yetu chini ya Jemedari wetu hodari na Nahodha imara Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika miaka yake hii mitano ijayo.

Jambo ambalo limewakosha sana wazungu na kukonga nyoyo zao. Kwa watanzania ndio imekuwa furaha kubwa sana ndani ya mioyo yao.nyuso zao zilijawa na tabasamu,furaha na matumaini sana walipokuwa wakisikiliza na kufuatilia hotuba hiyo.

Kwa hakika Taifa limepata Rais wa viwango.Rais mwenye maono na kiu ya maendeleo. Rais mwenye akili kubwa na uwezo wa kiuongozi.Rais mwenye maarifa na upeo wa hali ya juu sana. Kwa hakika hii ni bahati kubwa sana kupata Rais wa Aina ya Rais Samia.View attachment 3456649View attachment 3456650

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Marehemu Shehe Yahya alishawahi kutabiri kuwa akitoka Rais Kikwete atakuja Rais atakayetwala kwa muda mfupi(Magufuli)na baada ya hapo atatokea Rais mwanamke na baada ya hapo upinzani watachukua nchi!
Imethibitika Rais Samia hana ushawishi wowote kuanzia ndani ya chama chake hadi kwa wananchi wote kwa ujumla. Rais Samia licha ya kuwa makamu wa rais kwa miaka 5 anaonekana hajui matatizo ya watanzania na wala hajui watanzania wanataka nini. Serikali ya Rais Samia kila kukicha inajitenga na wananchi wanyonge kwa kuwapatia huduma mbovu sana kwenye kila nyanja. Rais Samia hajui kukemea rushwa na ufisadi. Hajui umuhimu wa viwanda kwa watanzania .
Kutokana na ulegelege huu ikitokea kwenye uchaguzi mkuu akawekwa Rais Samia na Tundu Lisu basi utabiri wa shehe Yahya unatimia asubuhi na mapema kwa Rais Samia kushindwa vibaya sana kwenye sanduku la kura na Tundu Lisu wa chama cha upinzani kuibuka mshindi na kushika dola.
 
Back
Top Bottom