Hotuba ya Mbowe Kumkaribisha Lowassa

Hotuba ya Mbowe Kumkaribisha Lowassa

ObiElinami

Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
20
Reaction score
14
Kwakweli nimemsikiliza Mh. Aikaeli Mbowe wakati wa tukio la kumkaribisha Mhe. Lowassa kiuhakika hotuba yake inaonesha ukomavu wake kisiasa hasa jinsi ya kutoa hoja zenye mashiko na zenye kujibu maswali yaliyomo vichwani mwa Wabongo wengi. Mbowe alijiandaa alijua wananchi wanamaswali gani na alijua njia hasa ya kuyajibu. Wakati akiendelea na hotuba yake nikawa napatwa na taswira ya hayati Nyerere sijui kwanini!! Anyway masihara pembeni, today's Mbowe Speech was so on point kuliko hata speech za mkuu wa kitengo.
 
The speeh was thunderous and destructive to pro ccm.
 
Mkuu nilijua umeiweka hotuba tuisome kumbe heading na mada haviendani...Next time ujifunze bro
 
Yote yameisha kabisa tusubirie Media ifanye kazi yake
 
kama kuna mtu anaweza kutuwekea audio ya hotuba atuwekee jaman
 
kama kuna mtu anaweza kutuwekea audio ya hotuba atuwekee jaman
subiri wataalma waje wakuwekee mkuu.
Ila mara nyingi hotuba za wanasiasa huwa hazina tofauti na watu wanavyotaraajia.
Sasa we vuta hisia then ikiwekwa basi utajua kwamba kumbe ulichohisi kitaongelea ndio kimeongelewa.

Fuatilia posts baadhi za Jamii forum kuanzia wiki hii,basi kuna watu walijibu hotuba yoote,so,yeye ali copy JF na kupaste tu.
 
Aliniacha hoi aliposema kwa namna ya pekee kutoka moyoni anamshukuru sana sana Kikwete!
 
Mbowe ameonyesha uwezo wa ajabu kweli uongozi sio elimu
 
Duh,jamaa anajua,nafikiri he is a real politician by birth,yaani alivyo ubadilisha upepo.....!
 
Dah...mbowe ameonyesha ukomavu katika medal za siasa jamaa nilikuwa simkubali lakini kwa speech ya leo...i sulute
 
Back
Top Bottom