Hotuba ya Lowassa yavuja

Kuna watu sio timamu hata kidogo yan...cjui ukisoma hujijutii ulichoandka
 
Wakati wengine wanapanga mikakati ya kuongea na watz (LOwasa) weninge wanapanga kwenda kupiga ng'oma za kienyeji (Magufuli)
 

ataeleza kiunagaubaga jinsi alivyomlala mama yako
 
Atatoa wapi hela kulipa deni lote hilo
Atupe scheme nzima ya mapato na kiasi sio porojo porojo kwa wananchi.
Siku izi watu wanajielewa na huo ni uong dhahiri

kuna mtu mmoja kila anakoenda anadai atajenga viwanda lakini hasemi hizo pesa zitatoka wapi,tujiandae kuchangishwa michango wa kutimiza ahadi hizo,ccm bye bye.
 
Hiyo atakuwa ameisoma siku tano kwa vipande vipande vya dakika tano tano na kisha itaunganishwa
Haitakuwa Live program,watakuwa wameirekodi. Kila baada 1/4 hr ataonekana mavazi na make up tofauti.
 
ataeleza kiunagaubaga jinsi alivyomlala mama yako


Hivi hiyo nayo ni hoja, siasa au kujionesha mbele ya wastaarabu kuwa wewe hukupata malezi ya wazazi? mbona hata mchokoraa wengine wananidhamu?
 
Hiyo ni ahadi ya ccm ya miaka yote iliyopita. Asituambie atalipa aseme atapata wapi hizo pesa, na wakati akiwa waziri mkuu kama mtendaji mkuu wa serikali kilimshinda nini kulipa madeni hayo?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…