Hotuba ya Kikwete haina jipya kwa watuhumiwa wa Escrow. Muhongo ziarani Mara kesho


Kwahiyo mkuu unataka kusema fisadi la sauzi limekuja kuwapa maujanja mafisadi ya bongo? Hapa lazima kitanuka bunge lijalo!
 
Yericko,
Mbona CHADEMA mmeiteka nyara hoja ya Escrow? Eti hata Mzee Ntagazwa anatumia ushushushu wake wa zamani kujua Rais wetu ataongea nini leo!
 

salim was the right one...
 

Na ni vizuriii asipofanya lolote ndio anakimaliza chama chake unajua hela alishachukua na watazitumia kwenye kampeni sasa unadhani watarudi nyuma? No Way ila sasa sijui Hao wahisani na misaada inakuwaje
 
Zuma naye kwao ni mwizi mkubwa c mtu mzuri hotuba ya Rais itabaki nchi vipande vipande kama atashindwa kuwawajibisha Maswi Muhongo Tibaijuka athari zake utendaji kazi utashuka maofisini pia wizi utaongezeka maoficn naungana na Ole Sendeka wasipowajibishwa Mwakyembe na Tume yake imuombe radhi Lowasa pia Bunge kamati ya James Lembeli iwaombe Radhi Maige Vuai Nchimbi Kagasheki ili jamii ya watanzania ijue hawana makosa walionewa tu hawa jamaa Kura yangu 2015 ni kwa Lowasa.
 
Aliita wazee was dini wachungaji name masheikh akusitakutetea mpakawqnaondoka viongozi waroman wanamsifia kabisauamuzi was kutowaondoa wakaishia kuelewana kutoelewana so something anasema
Leo
 
Amkuelewa kilaini alivyosema chaguo LA Mungu huyu kaletwa kUIONDOA CCm name hiliindilio chaguo MUNGU ANATAKA KULETA MABADILIKO KUPITIA JK
 


Hata sipati picha na uwezo wa huyu jamaa. Wazee wenyewe anaoenda kuongea nao ni wazee wa CCM. Kwani mpaka sasa taarifa tulizo nazo ni kwamba amewaita na washindi wote wa uchaguzi kupitia chama chake. Swali ni hili: Je, nikikao cha kuongelea Masuala ya Taifa au ni kikao cha Chama????
Kazi kweli kweli. Heri Mangungo wa Msovero kuliko huyu jamaa
 
Basi watatnzania tujue kwamba wezi wamehalalishwa kufanya walitakalo...tusilipe kodi mpka tujue hatima ya hili sakata kwani hatuwezi kulipa kodi kwa mafisadi huku maospitalini hakuna dawa.
 
Nidhambi kubakumuhukumu mtu pasipokuwa na ushahidi wa kujiridhisha tusiwe wachoyo na wabnafsi wa fikra je kila mmoja wetu ajiulize kama yeye ndio angekuwa mhanga wa kitu kama hicho angefanya jambo kama ambavyo anavyo mlazimisha mwenzie kufanya?sivzur pia uwajibikaji hutokea endapo kuna ushahidi bora na sio hisia za mtu au si kwa ajili mtu kaamua kuhoji kinyume na uadilifu wa mtu.
 
Yericko nyerere acha ujuha kalulu wewe. Usiwe wa kumpangia mheshimiwa rais aseme nini au afanye nini. Una chaguzi mbili tu. Moja ni kuisikiliza na pili ni kuacha kuisikiliza. Kama kwako haina jipya kwetu imejaa nasaha. Na profesa muhongo yuko kikazi zaidi hayuko kisiasa kama unavyotarajia..mwache afanye kazi kwani wenye macho tunaona.
 
Amini....duh..unakauli kali.....huoni watanzania wanateseka au. Au ndo umepata mgao huo jaman. Safisha kinywa hicho. Watu wamechoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…