Hotuba ya Kiingereza ya Rais Magufuli na wafanyabiashara wa Afrika Kusini

Acha hizo wewe,binafsi nilikuwemo ukumbini,kuna wakati alikuwa anaacha kusoma anazungumza na Audience kiingereza safi kabisa (sijafungua hiyo video labda iko edited).Kwa ufupi yuko vizuri,alikuwa anaongeza maneno yake out of a written speech kitu ambacho Mzee Mengi na Mhe.Mwijage hawakukifanya (Mbona hao hujawasema?,walikuwa hawabanduki kwenye Karatasi-Wewe utakuwa na lako jambo..go go go Magufuli).Na tuache hizo Kasumba eti Rais wetu hawezi kwenda nje ya nchi kwa sababu hawezi kuzungumza Kiingereza.Huo ni ulimbukeni.Samahani kama nimekukwaza.

Kuna makosa lkn hayana shida sana. Usimsifie as though nothing to note of grammatical responsibility
 
Kwa nini kumtetea? Kumkosoa mtu sio kumdharau. Kumkosoa hutoa fursa kwa wengine kujifunza. Lakini unapotetea hata pale dhahiri kabisa yako mawili- wewe ni muumini unayesadiki katika utukufu usioweza kuwa na kosa au ni asiyependa kuwaza wala kufikiria upande wa pili! Yaani ukisifiwa unavimba kichwa kumbe inawezekana sifa hizo ni bandia.

Sidhani kama kuna mtu wa Lumumba wa kukuelewa. On top of that, unapowaita watoto wa wenzio vilaza, jitahidi uwe perfect in all walks of life, particularly in scholarly articles, something impossible, anyway!
 
Daaaah hivi kumbe kiingereza kigumu kiasi hiki wadau????

Kamwe ckuwahi kufikiria kabla.
 
Jakaya n mzur kuliko Magu ila Mkapa kiboko yao. Rais hua anasoma written speeches. Nilimuona Jakaya wakati anatoa speech SA kwenye maombolezo ya Mandela though alikua na written speech lakin kuna mda alikua anaiacha anatumia maneno yake mwenyewe.
Nakubaliana na mtoa mada.
 
Yuko safi sana acheni uzandiki, unataka Mspaniola auongee kingereza kama mbriteni? mbona waganda wanalfudhi mbovu na hamsemi? kwani mzee M7 anakiingereza gani cha ajabu, kiingereza kama lugha kila taifa wana lahaja yao ndio maana english ya muhindi ni tofauti na ya mchina

Grammar ya M7 ni perfect
 
Back
Top Bottom