kifaulongo
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 1,030
- 450
leo wamejifungia ndani wanajadili kuifirisi nchi kwa sheria kadamizi za gase.wow! Ni ukweli usiopingika kuwa hakuna nchi na hata mtu
anaeweza kuendelea kwa kutegemea kusaidiwa material things au fedha
wamewatoa nje wawakilishi wa wananchi.ccm ni ugojwa wa hatari unaohitaji kutokomezwa