gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,045
Hatuba ya mtu mwenye maono ya uongozi
HahahaApewe Chadema UENYEKITI kama kipiMo cha Uongozi.Akiweza kuingoza Chadema tutampa IKULU 2020 ......
KumbeMtaishia kusema hivyo hivyo,
Utajidanganya mpaka lini wewe?
Kasimu Majaliwa na Magufuli ni miongoni mwa Team Lowassa , tunazo clip zao wakimpamba na kumuimba Lowassa , sasa kama hao nao ni mifugo basi sawa , Tuhuma za fedha bila uthibitisho ni aibu sana kwako na ni fedheha kubwa kwa wazazi wako piaNasikia wanazi wa CHADEMA wamemchoka ila wenye CHADEMA hawawezi kumwambia awapishe kwa sababu bado anawadai pesa alizowapa kwa makubaliano ya kupewa tiketi za kugombea Urais wa Tanzania.
HahaMakamanda mnashindwa nini kumpa nchi, au kura za ukawa hazitoshi?
M’nNasikia wanazi wa CHADEMA wamemchoka ila wenye CHADEMA hawawezi kumwambia awapishe kwa sababu bado anawadai pesa alizowapa kwa makubaliano ya kupewa tiketi za kugombea Urais wa Tanzania.