Hotuba ipi imekusisimua?

Hotuba ipi imekusisimua?

Kazitunayo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2013
Posts
3,784
Reaction score
3,205
Kati ya hotuba zote za ukawa kwenye kamati ipi imekusisimua? Mimi ya Tundu lissu,Jussa,Vicent,mbowe ndo zimenisisimua
 
Juma duni, kafulila, lipumba, lissu, jussa, mbowe, mbatia, wenje, vicent nyerere, msigwa, mnyaa na makaidi
 
Kati ya hotuba zote za ukawa kwenye kamati ipi imekusisimua? Mimi ya Tundu lissu,Jussa,Vicent,mbowe ndo zimenisisimua

Hao wote wametoa ufafanuzi mzuri,nawengine ni JUMA DUNI,,,MTIKILA kwa dakika mbili tu,amejibu vema swali alilotupiwa Tundu.Kiukweli serikali mbili hazina mashiko,ila tutaenda nazo kwa ubabe tu,,,ukombozi hautapatikana sasa,mpaka maccm yaache mabavu inchi siyo yao pekee
 
Back
Top Bottom