Sasa mbona unataka kuwadhalilisha akina dada jamani!!!! NAAMIN AKINA DADA WA JF WAKIKUELEWA ULIKUWA NA MAANA GANI, WATAKUCHUKIA MPAKA BASI....MAANA HUWEZI WAITA WAO NI HOTELI NDOGO, WAKATI WAO NI WA-BEIJING
Mmmmh! Wala sijadhalilisha.nani asie jua hio ni hoteli? Tena yenye chakula kitamu duniani.nani hajakula na akaishia kulamba vibakuli? Ha ha ha.chukulieni rahisi wakuu.shule zimefungwa eti.2kishafungua hamtaniona jf yenu.ha ha.
Sasa mbona unataka kuwadhalilisha akina dada jamani!!!! NAAMIN AKINA DADA WA JF WAKIKUELEWA ULIKUWA NA MAANA GANI, WATAKUCHUKIA MPAKA BASI....MAANA HUWEZI WAITA WAO NI HOTELI NDOGO, WAKATI WAO NI WA-BEIJING