Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,521
- 13,999
Hoteli mpya na ya kisasa inapangishwa kwa chumba kimoja kimoja au hata yote ina vyumba 31.
Sifa za Hoteli/Hosteli ina eneo kubwa la parking,umeme,maji ya uhakika,electic fence,vyumba vyote ni full self cotained,Tv,balcony na ni sehemu tulivu sana,ni dakika 10 kwa gari kutoka katikati ya jiji la Arusha.
Bei ya chumba kwa wiki ni 210,000/= Tsh ikiwa utapata na full breafast ni 250,000/=Tsh kwa wiki 1.
Ni sehemu nzuri kwa wote.
Ikiwa utapenda kuchukua vyumba vingi kuna punguzo la bei.
Sifa za Hoteli/Hosteli ina eneo kubwa la parking,umeme,maji ya uhakika,electic fence,vyumba vyote ni full self cotained,Tv,balcony na ni sehemu tulivu sana,ni dakika 10 kwa gari kutoka katikati ya jiji la Arusha.
Bei ya chumba kwa wiki ni 210,000/= Tsh ikiwa utapata na full breafast ni 250,000/=Tsh kwa wiki 1.
Ni sehemu nzuri kwa wote.
Ikiwa utapenda kuchukua vyumba vingi kuna punguzo la bei.