mkuu zbr mji wa kitalii...hoteli ya kawaida inaanzia dola 65...kwa dola hamsini vyoo vya nje
Nakushauri pale malindi ulizia Funguni Hotel wapo na viwango vizuri na bei ni kama 65,000/=
mkuu zbr mji wa kitalii...hoteli ya kawaida inaanzia dola 65...kwa dola hamsini vyoo vya nje
Nakushauri pale malindi ulizia Funguni Hotel wapo na viwango vizuri na bei ni kama 65,000/=
Ameuliza hotel ya bei raihisi lakini hajasema bei rahis ni bei gani. Kwa mfano Zanzibar Grand Palace Hotel to me bei zao ni rahisi maana pana vyumba vya dolar 150 pia
Ameuliza hotel ya bei raihisi lakini hajasema bei rahis ni bei gani. Kwa mfano Zanzibar Grand Palace Hotel to me bei zao ni rahisi maana pana vyumba vya dolar 150 pia
St Monica mkunazini karibu sana na madukani Darajani self haizidi 40 double, isiyo self single unapata hadi 15000/= (mwenzenu kasema rahisi jamani)
Grand palace ni dola 80 single na 130 double but its worth it, Mazsons sina hakika lakini ni kati ya dola 60 au 70 single
pia tembelea hizo za Shanghani ni mjini na sio bei mbaya