Massa
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 709
- 887
Wakuu mamkwe anakuja kunitembelea mwanza anatokea mbeya kwa gari binafsi kesho yake anasafiri kwa precisionair ya saa 12 asubuhi. Je kuna hotel yoyote nzuri karibia na uwanja wa ndege dar es salaam au ndani ya uwanja ili asipate usumbufu na foleni za asubuhi.
Cc pdidy
Cc pdidy