Prince Naseem
Member
- Apr 2, 2012
- 15
- 107
huyo jamaa ndio ni team moja na hao wanaopata data kupitia google writings asikuzuge hata kidogo mkuu.Nawasubiri wamalize kugoogle wadadavue,,,,
Kuna paka mmoja aligongwa na gari mitaa ya St Petersburg kama sikosei ,sijui alikua anawanga
Mkuu hapo kwenye bolds umejuaje yote hayo kwamba iko hivyo na si kwamba unatudanganya? Lete darasa mkuu.Mara nyingi namna ujasusi unavyotekelezwa katika dunia halisi ni mara chache sana hufanana na zile television movies za hollywoods kama James Bond, Tom Cruise na wengineo.Ila ujasusi bado inabaki kuwa moja kati ya njia muhimu na hatari sana zitumiwazo na serikali zote duniani katika ukusanyaji wa taarifa kutoka kwa mahasimu wake.
Kwa mara zote mafanikio ama kushindwa kwa majasusi kumewezesha kubadilika kwa sera za nchi za nje za serikali kote duniani, kumebadili meulekeo na mapigano ya vita na kuacha kovu kubwa sana, mara nyingi kovu hilo hufichwa, katika historia ya dunia.
Viongozi wa dunia huwa ukabiliwa na hali zinazowahitaji kufanya maamuzi magumu na muhimu kila kukicha na taarifa sahihi ndio kitu pekee muhimu katika kuyafanya maamuzi hayo kuwa sahihi. taarifa kama adui yako ana jeshi lenye ukubwa kiasi gani (mfano.
Al shabaab na Boko haram)? Wamefikia kiwango gani cha kutengeneza silaha hatari za siri? Je wana mpango wa kuingia katika makubaliano ya kibiashara na nchi nyingine? Je kuna baadi ya makamanda wa kijeshi wanapanga mapinduzi? Mara nyingi njia za ukusanyaji wa taarifa za kijasusi hutofautiana kulingana na utofauti wa taarifa zenyewe zinazohitajika.
Sasa swali lipo mezani, je ni njia gani hawa intelligence officers (kama vile former KGB, CIA na hata MOSSAD) walitumia kupata taarifa katika moja kati ya operations zao walizozifanya hapo awali?Wale wanaojiitaga wazee wa kusoma kutoka google akina Infantry Soldier, BM-40 OPERATOR, Weltmeisterschaftung, pamoja na wengine kibao nawataka hapa leo hii.
Haha sawa
kama ni st petersburg sina shida ingekuwa moscow karibu na LUBYANKA BUILDING hapo ingekuwa issue
hatari sana mkuu..........umetisha.Ktk mbinu zote ambazo majasusi huzitumia kukusanya taarifa eneo hatari la adui,kubwa kuliko ni hii inayofahamika kama "KUMKOMA NYANI GILADI".
mbinu hii hutumiwa na majasusi wachache waliobobea duniani.
Wale wataalamu wa ku-google msijisumbue,maana maelezo ya hii mbinu hayapatikani
mtandaoni.
mwenye kuhitaji maelezo zaidi anicheki PM nimtumie classified document ya hii mbinu.
hutaki unaacha.
.
tofauti na dhana iliyojaa katika vichwa vya watu wengi eti ya kuwa majasusi (wazee kwa kazi) ni watu makauzu sana na ni lazima wawe na sura ngumu. hapana. silaha ya kwacha ya hao wazee kwa kazi ni muonekano wao. mara nyingi huwa ni watu wacheshi sana na wachangamfu hakuna mfano wakijua fika kuwa ucheshi na uchangamfu wao ni moja kati ya njia rahisi sana za kuweza kulainisha na ku-corrupt moyo wa mtu na kutimiza kusudi lao.Mara nyingi namna ujasusi unavyotekelezwa katika dunia halisi ni mara chache sana hufanana na zile television movies za hollywoods kama James Bond, Tom Cruise na wengineo.Ila ujasusi bado inabaki kuwa moja kati ya njia muhimu na hatari sana zitumiwazo na serikali zote duniani katika ukusanyaji wa taarifa kutoka kwa mahasimu wake.
Kwa mara zote mafanikio ama kushindwa kwa majasusi kumewezesha kubadilika kwa sera za nchi za nje za serikali kote duniani, kumebadili meulekeo na mapigano ya vita na kuacha kovu kubwa sana, mara nyingi kovu hilo hufichwa, katika historia ya dunia.
Viongozi wa dunia huwa ukabiliwa na hali zinazowahitaji kufanya maamuzi magumu na muhimu kila kukicha na taarifa sahihi ndio kitu pekee muhimu katika kuyafanya maamuzi hayo kuwa sahihi. taarifa kama adui yako ana jeshi lenye ukubwa kiasi gani (mfano.
Al shabaab na Boko haram)? Wamefikia kiwango gani cha kutengeneza silaha hatari za siri? Je wana mpango wa kuingia katika makubaliano ya kibiashara na nchi nyingine? Je kuna baadi ya makamanda wa kijeshi wanapanga mapinduzi? Mara nyingi njia za ukusanyaji wa taarifa za kijasusi hutofautiana kulingana na utofauti wa taarifa zenyewe zinazohitajika.
Sasa swali lipo mezani, je ni njia gani hawa intelligence officers (kama vile former KGB, CIA na hata MOSSAD) walitumia kupata taarifa katika moja kati ya operations zao walizozifanya hapo awali?Wale wanaojiitaga wazee wa kusoma kutoka google akina Infantry Soldier, BM-40 OPERATOR, Weltmeisterschaftung, pamoja na wengine kibao nawataka hapa leo hii.
Inaonekana mtaalam sana kwenye hiyo field.Ktk mbinu zote ambazo majasusi huzitumia kukusanya taarifa eneo hatari la adui,kubwa kuliko ni hii inayofahamika kama "KUMKOMA NYANI GILADI".
mbinu hii hutumiwa na majasusi wachache waliobobea duniani.
Wale wataalamu wa ku-google msijisumbue,maana maelezo ya hii mbinu hayapatikani
mtandaoni.
mwenye kuhitaji maelezo zaidi anicheki PM nimtumie classified document ya hii mbinu.
hutaki unaacha.
.
Cc: Moshe DayanMara nyingi namna ujasusi unavyotekelezwa katika dunia halisi ni mara chache sana hufanana na zile television movies za hollywoods kama James Bond, Tom Cruise na wengineo.Ila ujasusi bado inabaki kuwa moja kati ya njia muhimu na hatari sana zitumiwazo na serikali zote duniani katika ukusanyaji wa taarifa kutoka kwa mahasimu wake.
Kwa mara zote mafanikio ama kushindwa kwa majasusi kumewezesha kubadilika kwa sera za nchi za nje za serikali kote duniani, kumebadili meulekeo na mapigano ya vita na kuacha kovu kubwa sana, mara nyingi kovu hilo hufichwa, katika historia ya dunia.
Viongozi wa dunia huwa ukabiliwa na hali zinazowahitaji kufanya maamuzi magumu na muhimu kila kukicha na taarifa sahihi ndio kitu pekee muhimu katika kuyafanya maamuzi hayo kuwa sahihi. taarifa kama adui yako ana jeshi lenye ukubwa kiasi gani (mfano.
Al shabaab na Boko haram)? Wamefikia kiwango gani cha kutengeneza silaha hatari za siri? Je wana mpango wa kuingia katika makubaliano ya kibiashara na nchi nyingine? Je kuna baadi ya makamanda wa kijeshi wanapanga mapinduzi? Mara nyingi njia za ukusanyaji wa taarifa za kijasusi hutofautiana kulingana na utofauti wa taarifa zenyewe zinazohitajika.
Sasa swali lipo mezani, je ni njia gani hawa intelligence officers (kama vile former KGB, CIA na hata MOSSAD) walitumia kupata taarifa katika moja kati ya operations zao walizozifanya hapo awali?Wale wanaojiitaga wazee wa kusoma kutoka google akina Infantry Soldier, BM-40 OPERATOR, Weltmeisterschaftung, pamoja na wengine kibao nawataka hapa leo hii.