Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,821
duuh!! hayo mabus waliweka ya nini ssSawa bro!! Shukran
duuh!! hayo mabus waliweka ya nini ssSawa bro!! Shukran
Bro kwan vip hadi kujuta??? Cjakuelewa hapo. N vyema utueleweshe poa!!Magomeni jiandae na watt wa mjini kulinda nguo zako usikatize usk jangwan umeisha kama kashikashi utaki nenda kimara magomeni tena nyuma kwa macheni room bei poah ila utajuta tena cku izi polisi wanalinda zinazopitisha mda wa kufunga utajuta utaacha kodi
Bro chumba kinabeba watu wangap chuo hapo hiv!!kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza hususani wanao tokea mikoani huwa wanapewa rooms, bachelor mwaka wa1 huwa wanapangiwa chang'ombe kuna block lao moja pale ada ni Tsh. 100,000/= kwa mwaka.
Ushauri: ni bora ukakae hostel za chuo kwa mwaka1/semista1 ili usome mazingira ya Dar then ukapange.
Karibu mjini
Kuna matukio ya ukabaji mkupita maelezo kama we sio mtt wa kiumeni apakufai mzee pamechangamka lkn usalama mdogo mnoBro kwan vip hadi kujuta??? Cjakuelewa hapo. N vyema utueleweshe poa!!
We mgeni wa dar ama mbona una maswali ya kiduanziShukran bro!! Inaeza chukua mda gan kufika chuo kaka
Yan we ukishaona maswali n ya kiduanze ujue anaeuliza sio mwenyej! We ulishakuw mwenyeji ndo mana waona maswali ya kiduanzi!!! Ila cha msingi hapa ni kuelekezana tu. Japo maswali mengne yatakuw yanaudhi kwa waliokwisha tangulia, ila kwa faida wanaotarajia kuanza mwaka cku za karbuni!! ShukranWe mgeni wa dar ama mbona una maswali ya kiduanzi
OK kwa mwendo kasi ndani ya dk 10 DIT by the way mpe hi Prof kondolo ukienda .
30 mins ni nyingi labda 15-20 minsKwa mguu kutoka mapipa wastani 30 minutes
hostel za ndani ya DIT hawapangishi chumba pekeake kwa OD's.Utaratibu wa kupata hostel DIT, OD's msaada plz..