we ni wa imani gani mkuu?Wakuu mi huwa sielewi kitu hizi hospital zetu. Mgonjwa anapokufa wanadai ulipe bili ndio wakupe mwili.
Kwa nini niwalipe wakati wamefeli kutoa huduma na mteja amekufa.
Mfano ukienda gereji na gari lako, fundi akalitengeneza lakini likashindikana kuwaka unachukua gari lako free.
Njia sahihi ilitakiwa hospitali irudishe gharama alizotumia mgonjwa pale wanaposhindwa kumtibu.
Tushirikiane kupinga huu uhuni.
naamSasa ikiwa hivo itafanya wasiwe wanawatibu wagonjwa wenye hali mbaya sana maana uwezekano wa kupona au kufariki ni sawa sawa. Utajisikiaje umepeleka mgonjwa wako halafu wakuambie “huyu hatuwezi kupoteza nguvu muda na resource zao kwa sababu atafariki?
Kama wanajua atafariki wamkatae afie nyumbaniSasa ikiwa hivo itafanya wasiwe wanawatibu wagonjwa wenye hali mbaya sana maana uwezekano wa kupona au kufariki ni sawa sawa. Utajisikiaje umepeleka mgonjwa wako halafu wakuambie “huyu hatuwezi kupoteza nguvu muda na resource zao kwa sababu atafariki?
okay:Imani ndio nini?
Wenzio wanatumia akili kwa mambo ya msingi ila wewe umeikalia.Wakuu mi huwa sielewi kitu hizi hospital zetu. Mgonjwa anapokufa wanadai ulipe bili ndio wakupe mwili.
Kwa nini niwalipe wakati wamefeli kutoa huduma na mteja amekufa.
Mfano ukienda gereji na gari lako, fundi akalitengeneza lakini likashindikana kuwaka unachukua gari lako free.
Njia sahihi ilitakiwa hospitali irudishe gharama alizotumia mgonjwa pale wanaposhindwa kumtibu.
Tushirikiane kupinga huu uhuni.
✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️Sasa ikiwa hivo itafanya wasiwe wanawatibu wagonjwa wenye hali mbaya sana maana uwezekano wa kupona au kufariki ni sawa sawa. Utajisikiaje umepeleka mgonjwa wako halafu wakuambie “huyu hatuwezi kupoteza nguvu muda na resource zao kwa sababu atafariki?