kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Bullshit...cream kama hiyo inaingiaje kwenye inner ear hata kama ni middle ear, kwa nini asimpe ear-drops, makanjanja kama nyie ndo mnatupotezea muda kusoma upupu mnaoandika humu kila ssi
Inawezekana ndugu bila hata ultrasound ukagunduli
Unauhakika fungus zinatokea kwenye middle au inner ear? Fungus huwa ni ugonjwa wa external earBullshit...cream kama hiyo inaingiaje kwenye inner ear hata kama ni middle ear, kwa nini asimpe ear-drops, makanjanja kama nyie ndo mnatupotezea muda kusoma upupu mnaoandika humu kila siku.
Ulikuwa umemsimamia daktari na mtoa dawa ukaona hayo?Anyway, dawa nzuri ya fungus wa sikio inaitwa CANDIBIOTIC EAR DROPS. Nadhani daktari aliandika hiyo kisha mtoa dawa akajichanganya. Na hayo of course ni mambo ya kawaida tu kutokea mahospitalini, iwe private au serikalini.
Systemic mycoses zote huwa zinatokea kwenye external ear, siyo? hii medicine sijui huwa mnasoma wapi au nyie ndo mnaokariri hand-outs za lecturers ili mfaulu mitihani, probably mnasoma kwenye Universities zilizofunguliwa kama njugu mtaani baada ya kuanza kutolewa mikopo ya elimu ya juu.Unauhakika fungus zinatokea kwenye middle au inner ear? Fungus huwa ni ugonjwa wa external ear
Kwahyo tupo kwenye systemic mycoses or otomycosis ??Systemic mycoses zote huwa zinatokea kwenye external ear, siyo? hii medicine sijui huwa mnasoma wapi au nyie ndo mnaokariri hand-outs za lecturers ili mfaulu mitihani, probably mnasoma kwenye Universities zilizofunguliwa kama njugu mtaani baada ya kuanza kutolewa mikopo ya elimu ya juu.
Kwa hiyo ear-drops huwa zinawekwa kwenye ngozi au ndani ya sikio bwana daktari bingwa..Kwahyo tupo kwenye systemic mycoses or otomycosis ??
How?,wakati nilimwambia tu,ninahisi ni appendex,na yeye akakazia hapohapoInawezekana ndugu bila hata ultrasound ukagundulika na acute appendicitis
Systemic mycosis or otomycosisKwa hiyo ear-drops huwa zinawekwa kwenye ngozi au ndani ya sikio bwana daktari bingwa..
How?,wakati nilimwambia tu,ninahisi ni appendex,na yeye akakazia hapohapo
Kama wewe ni daktari bingwa hujui hata hiyo otomycoses unayong'ang'ania inaweza ku-extend kuwa systemic, basi afya za wananchi zinazidi kuwekwa rehani, matatizo ya kusoma kwa kukariri siyo kuelewa..Systemic mycosis or otomycosis
Sasa kwa kugusa anajuaje?,maana tatizo halikuisha hata baada ya operation ndo nikajua niliingi wa chakakwahyo daktari alitembea na wewe hakufanyia kipimo cha tumbo kwa kukugusa na mikono?
Pesa mbeleSasa kwa kugusa anajuaje?,maana tatizo halikuisha hata baada ya operation ndo nikajua niliingi wa chaka
Anyway, dawa nzuri ya fungus wa sikio inaitwa CANDIBIOTIC EAR DROPS. Nadhani daktari aliandika hiyo kisha mtoa dawa akajichanganya. Na hayo of course ni mambo ya kawaida tu kutokea mahospitalini, iwe private au serikalini.
Kiongozi kuwa makini na taaluma za watuHabari ndugu zangu wana JF?
Natumai humu wote n wazima naombeni niwasilishe humu japo kwa ufupi sana.
Sikio lilikuwa linamuuma sana nileambiwa sitoweza kupatiwa matibabu maana daktari bingwa wa magonjwa ya masikio hayupo na badala yake atafika siku ya Jumamosi, niliona isiwe shida baadae nilrudi hosptalin hapo kwa tarehe niliyotajiwa kwa bahat nzuri nilimkuta docka na aliniandika dawa na alimwekea katika sikio dawa ile baada ya hapo sikio ndio lilizidi maumivu maradufu kuliko mwanzon niliamua kusoma ile dawa nilikuta imeandikwa FOR EXTERNAL APPLICATION ONLY hapo ndipo nilipopatwa na wasiwasi zaidi maana docta alidai sikio lina tatizo la fangas
Baadae niliamua niende hosptali nyingne ya binasf walishtushwa na aina ya dawa niliyopewa na wakambadilishia dawa ila sikio lilishaanza kupoteza uwezo wa kusikia maana ile dawa niliyopewa mwanzoni ilienda kuziba sikion na wamejarb kuliosha matumain yako kwa kias fulani.
Uzembe huu ungeweza kumsababishia ukilema wa kutosikia kabisa
Dawa yenyewe ni hii hapa wadau
View attachment 1613509
Ww ndo hovyo au!Ondoa neno "Hovyo" na uombe radhi.
Ni kweli ibaonekana mtoa dawa alipitiwa kutokana dhiki walizonazo watumishi wa umma,mawazo mengi,madai yao mengi hayajalipwaAnyway, dawa nzuri ya fungus wa sikio inaitwa CANDIBIOTIC EAR DROPS. Nadhani daktari aliandika hiyo kisha mtoa dawa akajichanganya. Na hayo of course ni mambo ya kawaida tu kutokea mahospitalini, iwe private au serikalini.
Tatizo huwa mnaenda hospitali na diagnosis zenu kichwan, utasikia mgonjwa anamwambia Dr " Hii ni Malaria kabisa Dr mm huwa najifahamu nikiumwa malaria" tena unakomaa kwelikwwli hutaki hata kusikia ushaur wa Dr, sasa kwa case kama hii kwann Dr asikuchape sindano za quinine hasa private.Mimi nilikuwa na vichomi upande wa kulia kwa chini tumboni,nikahisi appendix,,Dr alinipasua kunitoa appendix bila hata kunipima ultrasound..ili tu apate hela..
Usilamu tu kwa ufahamu wangu mimi nahisi kulikuwa na tatizo kwenye eitherHabari ndugu zangu wana JF?
Natumai humu wote n wazima naombeni niwasilishe humu japo kwa ufupi sana.
Sikio lilikuwa linamuuma sana nileambiwa sitoweza kupatiwa matibabu maana daktari bingwa wa magonjwa ya masikio hayupo na badala yake atafika siku ya Jumamosi, niliona isiwe shida baadae nilrudi hosptalin hapo kwa tarehe niliyotajiwa kwa bahat nzuri nilimkuta docka na aliniandika dawa na alimwekea katika sikio dawa ile baada ya hapo sikio ndio lilizidi maumivu maradufu kuliko mwanzon niliamua kusoma ile dawa nilikuta imeandikwa FOR EXTERNAL APPLICATION ONLY hapo ndipo nilipopatwa na wasiwasi zaidi maana docta alidai sikio lina tatizo la fangas
Baadae niliamua niende hosptali nyingne ya binasf walishtushwa na aina ya dawa niliyopewa na wakambadilishia dawa ila sikio lilishaanza kupoteza uwezo wa kusikia maana ile dawa niliyopewa mwanzoni ilienda kuziba sikion na wamejarb kuliosha matumain yako kwa kias fulani.
Uzembe huu ungeweza kumsababishia ukilema wa kutosikia kabisa
Dawa yenyewe ni hii hapa wadau
View attachment 1613509