MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,231
Habari zenu wadau,
Niende kwenye Mada husika,
Kiukweli katika jamii hospitali ni sehemu nyeti sana kwani mtu anapo hisi Afya kuzorota NDIO sehem peke ya kukimbilia,
Cha Ajabu hii hospitali ya MWENDAKULIMA_KAHAMA,ni tofauti na kile wengi wanacho kitegemea,
1_Wahidumu wa pale huwezi fanikiwa kumpata mhudumu mwenye lugha ya upendo, ukarimu nk, wote ni kama wanahasira hasira, Ukimsemesha semesha unaweza kupewa Tusi ambalo hujategemea.
2_. Hospitali Nzima haina dawa, cha Ajabu dawa unapoandikiwa unaelekezwa kwenda kununua kwa moja ya manesi (Nyumbani)hapo hapo jirani na hospitali,
Mbaya zaidi sio dukani,dawa zipo ndani kwao wanako ishi,
3_ 79% Ya Manesi wanavaa Nguo fupi ambazo ziko juu ya magoti. Sasa akinama kidogo kwakweli watu Wanapatwa na Mfadhaiko w Moyo
4_ Usafi wa humo ndani ni mdogo sana, Hospitali inanuka yani haina mfano
5_. Wauguzi hawana Haraka ya kumhudumia mgonjwa,Yani ukifika pale inaweza kuchukua dakika 45 ndo upewe huduma
6_ Wamama Wajawazito kati ya 10 Basi 4 hupoteza maisha,
NB: Kwa atakae bisha juu ya haya nitakuja na video,
Tunaiomba serikali yetu iwaangalie upya maana imefikia hatua mpaka wananchi wanaiogop hiyo Hospitali hivyo kuwalazimu kwenda umbali fulani kutafuta huduma za afya
Naomba kuwakilisha.
Matusi sitaki
Niende kwenye Mada husika,
Kiukweli katika jamii hospitali ni sehemu nyeti sana kwani mtu anapo hisi Afya kuzorota NDIO sehem peke ya kukimbilia,
Cha Ajabu hii hospitali ya MWENDAKULIMA_KAHAMA,ni tofauti na kile wengi wanacho kitegemea,
1_Wahidumu wa pale huwezi fanikiwa kumpata mhudumu mwenye lugha ya upendo, ukarimu nk, wote ni kama wanahasira hasira, Ukimsemesha semesha unaweza kupewa Tusi ambalo hujategemea.
2_. Hospitali Nzima haina dawa, cha Ajabu dawa unapoandikiwa unaelekezwa kwenda kununua kwa moja ya manesi (Nyumbani)hapo hapo jirani na hospitali,
Mbaya zaidi sio dukani,dawa zipo ndani kwao wanako ishi,
3_ 79% Ya Manesi wanavaa Nguo fupi ambazo ziko juu ya magoti. Sasa akinama kidogo kwakweli watu Wanapatwa na Mfadhaiko w Moyo
4_ Usafi wa humo ndani ni mdogo sana, Hospitali inanuka yani haina mfano
5_. Wauguzi hawana Haraka ya kumhudumia mgonjwa,Yani ukifika pale inaweza kuchukua dakika 45 ndo upewe huduma
6_ Wamama Wajawazito kati ya 10 Basi 4 hupoteza maisha,
NB: Kwa atakae bisha juu ya haya nitakuja na video,
Tunaiomba serikali yetu iwaangalie upya maana imefikia hatua mpaka wananchi wanaiogop hiyo Hospitali hivyo kuwalazimu kwenda umbali fulani kutafuta huduma za afya
Naomba kuwakilisha.
Matusi sitaki