Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Kwa mliofika muhimbili siku mbili hizi mtagundua kwamba kuna katizo la umeme ati sababu ya shoti iliyotokea tangu jana mchana na kulazimika maeneo mengi zikiwemo wadi kugubikwa na kiza
sanjari na hilo kumekua na matukio ya hivi karibuni ambapo vichaa wanaozidiwa kutoroka wodi zao na kupanda juu wadi za wanawake
Tafadhali wahusika mlifanyie kazi suala hili maana waliopo hospitalini ni watanzania wenzetu wakiwemo wagonjwa na wafanyakazi

sanjari na hilo kumekua na matukio ya hivi karibuni ambapo vichaa wanaozidiwa kutoroka wodi zao na kupanda juu wadi za wanawake

Tafadhali wahusika mlifanyie kazi suala hili maana waliopo hospitalini ni watanzania wenzetu wakiwemo wagonjwa na wafanyakazi