Hospitali ya Muhimbili yaingia kizani jana

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,156
13,258
Kwa mliofika muhimbili siku mbili hizi mtagundua kwamba kuna katizo la umeme ati sababu ya shoti iliyotokea tangu jana mchana na kulazimika maeneo mengi zikiwemo wadi kugubikwa na kiza
Muhimbili.jpg


sanjari na hilo kumekua na matukio ya hivi karibuni ambapo vichaa wanaozidiwa kutoroka wodi zao na kupanda juu wadi za wanawake
16.jpg


Tafadhali wahusika mlifanyie kazi suala hili maana waliopo hospitalini ni watanzania wenzetu wakiwemo wagonjwa na wafanyakazi
 
Umeme upo wala haujakatika kama unavyosema.

Hilo tukio la vichaa sijasikia na wala sina uhakika nalo, kwa sababu wodi ya wagonjwa wa akili ipo tofauti na wodi zingine na pia ipo umbali kidogo.
 
Week hii nmekua nkishinda mbagala pia kuna tatizo la umeme kukatika hasa mchana, sasa mtu unajiuliza tatizo ni nini maana tuliambiwa itakua historia na hata zaman umeme ulkua ukikatika wakati wa kiangaz lakin sasahivi n wakati wa masika
 
UMEME hakuna tangu jana umerudi jioni hii....andika ukiwa umesoma vizuri
Sehemu kubwa ya Dar kutwa nzima hapakuwa na upeme, unatoa povu utafikiri hapo Muhimbili umeme kukatika ni jambo la ajabu. Utumwachaggadomo bana
 
Ofisini tumetumia standby jenereta kwa wiki moja sasa
 
Week hii nmekua nkishinda mbagala pia kuna tatizo la umeme kukatika hasa mchana, sasa mtu unajiuliza tatizo ni nini maana tuliambiwa itakua historia na hata zaman umeme ulkua ukikatika wakati wa kiangaz lakin sasahivi n wakati wa masika
Si ndio historia yenyewe hiyo???????
 
Sehemu kubwa ya Dar kutwa nzima hapakuwa na upeme, unatoa povu utafikiri hapo Muhimbili umeme kukatika ni jambo la ajabu. Utumwachaggadomo bana
kwahiyo kukatika umeme kwenye hospitali hauoni ajabu kweli watoa kafara ni watu waajabu sana
yaani haujui kwamba kuna watu wanategeme machine zinazo tumia umeme ili waendekee kuishi.
 
Back
Top Bottom