Hospitali ya BUGANDO imekuwa kero

Hospitali ya BUGANDO imekuwa kero

Muwazi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2014
Posts
355
Reaction score
81
Hospitali ya Bugando ni kero sana kwa sasa maana manesi na madaktari hawajali hata wagonjwa wenye hali mbaya kupewa huduma za haraka.

Nasema hivi kwa sababu wagonjwa wanaopewa rufaa kwenda Bugando wakiwa na hali mbaya wanakaa zaidi ya masaa matatu bila hata kupewa huduma wakati huyo mgonjwa amepelekwa hapo kwa gari la wagonjwa (ambulance) tena kwa mwendo mkali sana.

Hao wagonjwa hawaruhusiwi kukaa na ndugu hata kama hali ni mbaya kiasi gani na kudai kuwa hata kama anataka kukata roho lakini hairuhusiwi kubaki na mtu wodini.

Nasema afadhali wangefanya hivyo endapo wangekuwa wanawajali wagonjwa ila sasa majibu yao ni ya kipuuzi kweli.
 
kuna jamaa alishawahi kupost hapa kuwa anakereka na hospitali hiyo kwasababu akiwa hospitalini anatibiwa, anaiona misalaba imechorwa na nje kuna misalaba. I hope hata wewe hautakuwa na chuki za aina hiyo. wewe nawe ni mmojawapo au?
 
kuna jamaa alishawahi kupost hapa kuwa anakereka na hospitali hiyo kwasababu akiwa hospitalini anatibiwa, anaiona misalaba imechorwa na nje kuna misalaba. I hope hata wewe hautakuwa na chuki za aina hiyo. wewe nawe ni mmojawapo au?

Mkuu ukiwa na imani hizo , tutashindwa kuiendeleza nchi we should be objective, lets focus on issues , hapa mtu analalamikia kuhusu service levels wewe unaanza kuleta ujinga wako, grow up
 
kuna jamaa alishawahi kupost hapa kuwa anakereka na hospitali hiyo kwasababu akiwa hospitalini anatibiwa, anaiona misalaba imechorwa na nje kuna misalaba. I hope hata wewe hautakuwa na chuki za aina hiyo. wewe nawe ni mmojawapo au?

Naomba urudie kusoma hiyo thread vizuri ndugu Hute sio kupachika yasiyokuwepo kwenye thread.
 
Last edited by a moderator:
Naomba urudie kusoma hiyo thread vizuri ndugu Hute sio kupachika yasiyokuwepo kwenye thread.

Bugando napo kwa sasa hapafai....huduma ni mbovu na hali haifai.....Hii hospitali ilisifika na ilikuwa ndio kimbilio la wanyonge. Kwa sasa hali ni tofauti hapafai kabisa.
poleni wanamwanza na kanda ya ziwa.
 
Last edited by a moderator:
Hospitali ya bugando haifai kabisa maana huduma imekuwa mbovu sana siku hizi.
 
kuna jamaa alishawahi kupost hapa kuwa anakereka na hospitali hiyo kwasababu akiwa hospitalini anatibiwa, anaiona misalaba imechorwa na nje kuna misalaba. I hope hata wewe hautakuwa na chuki za aina hiyo. wewe nawe ni mmojawapo au?

Agakhan hospital ina nembo ya dini fulani ila huduma zao nzuri. So misalaba ni ishara ya upendo wa Bwana Yesu na yeye hachagui dini....issue iko hivi: huduma za bmc zinadorora sana vitendo vya rushwa, lack of committment, nk. Dr. Anaenda mwananch partime kusanya tsh 30, kwa kila mgonjwa anayeumwa mafua, anamwacha mgonjwa bmc icu.
 
kuna jamaa alishawahi kupost hapa kuwa anakereka na hospitali hiyo kwasababu akiwa hospitalini anatibiwa, anaiona misalaba imechorwa na nje kuna misalaba. I hope hata wewe hautakuwa na chuki za aina hiyo. wewe nawe ni mmojawapo au?

----- sana hili
 
Back
Top Bottom