Gilbertlit
Member
- Jun 10, 2021
- 25
- 10
Google..utapata details zote. Ila mambo ya tarafa hakuna siku hizi...ni wilaya, kata, mtaa...Wakuu Habarini za muda huu, naomba kuuuliza eti Hospitali ya Aga khan ipo
Wilaya gani ?
Tarafa gani ?
Kata gani ?
Mtaa gani ?
Nina jaza form ya interview hapa sasa nimekutana na ilo swali, maana nimezaliwa hapo ila sijui sasa hizo taarifa.
Naombeni MSAADA wenu ndugu.
Hujasema ulipo Ili usaidiwe, vinginevyo tumia Google map kuitafuta aga Khan eneo ulipoWakuu Habarini za muda huu, naomba kuuuliza eti Hospitali ya Aga khan ipo
Wilaya gani ?
Tarafa gani ?
Kata gani ?
Mtaa gani ?
Nina jaza form ya interview hapa sasa nimekutana na ilo swali, maana nimezaliwa hapo ila sijui sasa hizo taarifa.
Naombeni MSAADA wenu ndugu.
Nipo Dodoma mimi kwa sasaHujasema ulipo Ili usaidiwe, vinginevyo tumia Google map kuitafuta aga Khan eneo ulipo
Wilaya ilalaWakuu Habarini za muda huu, naomba kuuuliza eti Hospitali ya Aga khan ipo
Wilaya gani ?
Tarafa gani ?
Kata gani ?
Mtaa gani ?
Nina jaza form ya interview hapa sasa nimekutana na ilo swali, maana nimezaliwa hapo ila sijui sasa hizo taarifa.
Naombeni MSAADA wenu ndugu.
Agakhan ya dar es salaam nduguWewe umezaliwa hapo wapi?
Aga Khan ipo mikoa mbali mbali Tz.
Ipo Dar, Tanga, Arusha
So swali lako ni too general
Asante sana mkuu... ume nisaidia sanaWilaya ilala
Kata:kivukoni
Tarafa;upanga
Mtaa kivukoni(ocean road)
Kwa Dar es Salaam najua kuna ya Posta na ya Buza Kanisani ila naona ushagewa jibuAgakhan ya dar es salaam ndugu
Ipo wilaya ya ilala, kata ya kivukoni, mtaa wa ufukoni na Barack Obama driveWakuu Habarini za muda huu, naomba kuuuliza eti Hospitali ya Aga khan ipo
Wilaya gani ?
Tarafa gani ?
Kata gani ?
Mtaa gani ?
Nina jaza form ya interview hapa sasa nimekutana na ilo swali, maana nimezaliwa hapo ila sijui sasa hizo taarifa.
Naombeni MSAADA wenu ndugu.
Asante sana mkuu... shukrani kwa msaadaIpo wilaya ya ilala, kata ya kivukoni, mtaa wa ufukoni na Barack Obama drive
Asante sana mkuu kwa msaada.Wilaya ilala
Kata:kivukoni
Tarafa;upanga
Mtaa kivukoni(ocean road)
Kwa Dar es Salaam najua kuna ya Posta na ya Buza Kanisani ila naona ushagewa jibu
Kwa Dar es Salaam najua kuna ya Posta na ya Buza Kanisani ila naona ushagewa jibu
Jaribu
Dar kuna ya mjini, tabata nafikiri hata buza huko.Agakhan ya dar es salaam ndugu
Wakuu Habarini za muda huu, naomba kuuuliza eti Hospitali ya Aga khan ipo
Wilaya gani ?
Tarafa gani ?
Kata gani ?
Mtaa gani ?
Nina jaza form ya interview hapa sasa nimekutana na ilo swali, maana nimezaliwa hapo ila sijui sasa hizo taarifa.
Naombeni MSAADA wenu ndugu.