Hello wakuu, tafadhali kwa yeyote anaejua wapi naweza kupata huduma ya clinic ya wachina na acupuncture. Naomba anisaidie maelekezo ya mahali ilipo na huduma zao hasa magonjwa ya kina mama. Msaada tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.