bora ametoka salama huyu bwana,taasisi karibia zote za serikal hazifanyi kazi kusaidia wananchi,kila taasisi ina uchafu mkubwa sana-sasa huyu bosi ameamua kumbambikia kesi mhariri hadi akamsotesha mwenzie,jamani hii si dhambi kabisa.
ʞ@*&$##^& zao