Hongereni form six mmebakiza mtihani mmoja

Moneyowner

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
1,423
1,251
Ni shangwe na ndelemo katika baadhi ya familia leo baada ya watoto wao kutusua viliyvo,
pia nami nawapa hongera, pole ambao mambo hayajaenda poa.

Sasa mtihani mliobakiza ni wa kuchagua kozi za kwenda kusoma kitu pekee kitakacho determine maisha yenu yote, ukikosea/kupatia ndivo maisha yatakavokuwa hakuna option la sivyo mtaishia kufuga kuku kama sisi.

Chonde chonde kuweni makini bora ukachagua kozi ambyao hata magufuli asipocheka unaweza kubangaiza mwenyewe. mkumbuke kabisa mpaka mnagraduate magufuli bado atakuwa kabakiza miaka kama 3 ivi so uhaba wa ajira bado utakuwa palepale.

kila la kheri

@DARUBINVOICE
 
Ni shangwe na ndelemo katika baadhi ya familia leo baada ya watoto wao kutusua viliyvo,
pia nami nawapa hongera, pole ambao mambo hayajaenda poa.

Sasa mtihani mliobakiza ni wa kuchagua kozi za kwenda kusoma kitu pekee kitakacho determine maisha yenu yote, ukikosea/kupatia ndivo maisha yatakavokuwa hakuna option la sivyo mtaishia kufuga kuku kama sisi.

Chonde chonde kuweni makini bora ukachagua kozi ambyao hata magufuli asipocheka unaweza kubangaiza mwenyewe. mkumbuke kabisa mpaka mnagraduate magufuli bado atakuwa kabakiza miaka kama 3 ivi so uhaba wa ajira bado utakuwa palepale.

kila la kheri

@DARUBINVOICE
Daaah ili kosa nimeshalifanya imesha nighalimu hakuna namna inabid tuu nipambane tuuu,,,,,,, nimeshalikoroga sina budi kilinywa,,,,,,, ili kosa sitalisahau
 
Ni shangwe na ndelemo katika baadhi ya familia leo baada ya watoto wao kutusua viliyvo,
pia nami nawapa hongera, pole ambao mambo hayajaenda poa.

Sasa mtihani mliobakiza ni wa kuchagua kozi za kwenda kusoma kitu pekee kitakacho determine maisha yenu yote, ukikosea/kupatia ndivo maisha yatakavokuwa hakuna option la sivyo mtaishia kufuga kuku kama sisi.

Chonde chonde kuweni makini bora ukachagua kozi ambyao hata magufuli asipocheka unaweza kubangaiza mwenyewe. mkumbuke kabisa mpaka mnagraduate magufuli bado atakuwa kabakiza miaka kama 3 ivi so uhaba wa ajira bado utakuwa palepale.

kila la kheri

@DARUBINVOICE
kweli kabisa! selection ya course huwa ni shida sana
Napingana nanyi, tatizo sio kozi... Tatizo ni wewe msomaji.. Je unasoma ufauru uje utume mi barua ofisini mwa watu.. Au unasoma kujikomboa kifikra na kuweza kupambana na hali ya mtaa?

Ukisoma guide book za vyuo, ktk kipa kozi wameweka objective pale na mara nyingi wanasema kumjenga mhitimu kuapply utaalamu wake mtaani ili kusolve matatizo.
 
Kuongea ni jambo rahisi sana bro lakini nahisi hata wewe unaushahidi kwa ndugu /jamaa walioboronga selections.
Afu elimu yetu haituandai kujitegemea

Napingana nanyi, tatizo sio kozi... Tatizo ni wewe msomaji.. Je unasoma ufauru uje utume mi barua ofisini mwa watu.. Au unasoma kujikomboa kifikra na kuweza kupambana na hali ya mtaa?

Ukisoma guide book za vyuo, ktk kipa kozi wameweka objective pale na mara nyingi wanasema kumjenga mhitimu kuapply utaalamu wake mtaani ili kusolve matatizo.
 
Selection ya course inaendana na mchepuo uliosoma. Michepuo ya sayansi ndio ina dili sasa hivi
Sasa kama mwanzoni ulibugi kwenye kuchagua mchepuo hata huku kwenye course utachagua tu course yoyote ili mradi na wewe uonekane umeenda chuo
 
Back
Top Bottom