Hongereni CHADEMA UDOM kwa kupata uongozi mpya

Hongereni CHADEMA UDOM kwa kupata uongozi mpya

LEVEL

Senior Member
Joined
Jul 4, 2013
Posts
195
Reaction score
51
chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) chuo kikuu cha dodoma leo tarehe 3 mei 2014 kimepata uongozi mpya utakao kitumikia chama pamoja na wananchi kwa moyo na nguvu zote. wakiongea mara baada ya uchaguzi huo viongozi hao wameonesha nia za dhati za kukitumikia chama kwa manufaa ya wananchi wote. napenda kutoa pongezi na shukurani kwa wote waliofanikisha mchakato huo. peeeeeeeeeeeeeeooooooooooooooooooopppppppppppplessssssssssssssssss....poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer!
 
hongereni sana makanda nimefurahishwa sana na uteuzi wa kamnda mwakibinga na kamanda kawiche pigeni kazi makamanda
 
chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) chuo kikuu cha dodoma leo tarehe 5 mei 2005 kimepata uongozi mpya utakao kitumikia chama pamoja na wananchi kwa moyo na nguvu zote. wakiongea mara baada ya uchaguzi huo viongozi hao wameonesha nia za dhati za kukitumikia chama kwa manufaa ya wananchi wote. napenda kutoa pongezi na shukurani kwa wote waliofanikisha mchakato huo. peeeeeeeeeeeeeeooooooooooooooooooopppppppppppplessssssssssssssssss....poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer!

05 mei 2005???? Hiki chuo si kimeanza 2007.
 
Back
Top Bottom