East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,209
Nawapongeza sana wizara ya elimu kusitisha kutoa mafunzo ya certificate ya ualimu kwenye vyuo vyake kuanzia mwakani.Hii ina maana kuwa watakuwa wakitoa mafunzo ya kuanzia Diploma ya ualimu.Hivyo kuondoa uwezekano wa wale waliofeli kidato cha nne kujiunga na ualimu kwa kuwa mtu ili ajiunge na diploma inabidi awe kafaulu vizuri kidato cha nne.Hivyo ina maana kuwa kiwango cha chini cha elimu cha mwalimu wa msingi itakuwa ni diploma na sio certificate.Itasaidia kupandisha kiwango cha ufundishaji.
Pia ni tahadhari kwa walimu wenye certificate kuwa wajisomee wawe na diploma maana muda si mrefu watajikuta tu-certificate twao twa ualimu hatuna mbele wala nyuma.
bado safari ni ndefu kuna watu wanashahada na stashahada lakini hakuna cha maana wanachofanya
Nawapongeza sana wizara ya elimu kusitisha kutoa mafunzo ya certificate ya ualimu kwenye vyuo vyake kuanzia mwakani.Hii ina maana kuwa watakuwa wakitoa mafunzo ya kuanzia Diploma ya ualimu.Hivyo kuondoa uwezekano wa wale waliofeli kidato cha nne kujiunga na ualimu kwa kuwa mtu ili ajiunge na diploma inabidi awe kafaulu vizuri kidato cha nne.Hivyo ina maana kuwa kiwango cha chini cha elimu cha mwalimu wa msingi itakuwa ni diploma na sio certificate.Itasaidia kupandisha kiwango cha ufundishaji.
Pia ni tahadhari kwa walimu wenye certificate kuwa wajisomee wawe na diploma maana muda si mrefu watajikuta tu-certificate twao twa ualimu hatuna mbele wala nyuma.
Akina mungai wamerudi tena. diploma ya ualimu ili umfundishe darasa la ngapi? yaani mtu anaamka huko kwake ameshauriana na mke wake halafu anakuja kutangaza. huu ni uamuzi wa kitoto,nani amesema hiyo certificate ya ualimu haina maana????? nina hasira
Kuna wenye PhD, Professors wengi tu lakini sioni kama hali inaashiria mafanikio mbeleni, nitaafiki hoja iliyoletwa pale tu siku nikiona watoto wa vigogo wanafundishwa na hao walimu wanaoandaliwa kwa huo mfumo mpya, tena kwenye shule za umma, vinginevyo hii yote ni mbinu nyingine ya kuliuza taifa kwa janja ya kutuvisha miwani ya mbao
Tatizo ni kuwa yeyote anayeitwa mwalimu lazima anakuwa hajitambui
Tatizo ni kuwa yeyote anayeitwa mwalimu lazima anakuwa hajitambui
Tatizo ni kuwa yeyote anayeitwa mwalimu lazima anakuwa hajitambui
CC; geniveros, Madame B, Evelyn Salt, Zamda Geuka.
Akiwashinda niiteni naenda kufuata kigoma cha msuto....