Hongera wabunge wa CCM kwa umoja wenu mlioonyesha kwenye kuchagua wabunge wa EAC

Mar 23, 2017
64
89
Nalaani kitendo cha chama cha CHADEMA kuleta wagombea wawili (fixed candidates) hawa jamaa wananikumbusha enzi za chama kimoja, walikuwa wanaleta Rais na kivuli ili Rais apite bila kupingwa kwani huwezi kuchagua kivuli kama una timamu.

Demokrasia ya kweli huwa namba inayo zidi ili watu wawe na uhuru wa kuchagua. Huwezi kuja umechagua harafu ukaniambia pitisha wakati umesha maliza uchaguzi wako. Hawa jamaa wanaimba demokrasia wakati wameficha mapanga nyuma. CCM mmeonyesha ukomavu wa demokrasia kwa kuleta wagombea 12 wakati wanaohitajika ni 6. Mmekomaa kisiasa.

HONGERENI SANA.
 
Mwanamke akikosa akili..vitaumia viungo vyake vya siri...hii itakuwa inakuhusu...nenda kampoze katibu wa UVCCM maana kazi aliyokutuma umemaliza
 
Huu umoja magu atakuja kuuvuruga ngoja atakapogusa maslai yao hawa watahangaika sana ila watakuwa wamechelewa sana kuurudisha huu umoja wao walau kwa kinafiki tu ili kujitetea na makucha ya chato chatoni.
I like "divide and rule approach" the biggest man usually played with such spear wisely and intellegently as formely choose from aisiti et al.
 
Nalaani kitendo cha chama cha CHADEMA kuleta wagombea wawili (fixed candidates) hawa jamaa wananikumbusha enzi za chama kimoja, walikuwa wanaleta Rais na kivuli ili Rais apite bila kupingwa kwani huwezi kuchagua kivuli kama una timamu.

Demokrasia ya kweli huwa namba inayo zidi ili watu wawe na uhuru wa kuchagua. Huwezi kuja umechagua harafu ukaniambia pitisha wakati umesha maliza uchaguzi wako. Hawa jamaa wanaimba demokrasia wakati wameficha mapanga nyuma. CCM mmeonyesha ukomavu wa demokrasia kwa kuleta wagombea 12 wakati wanaohitajika ni 6. Mmekomaa kisiasa.

HONGERENI SANA.

Chadema INA kuhusu nini??Unaupa Hongera CCM kwa kuchagua Magodoro au??Kwa nchi kama yetu tulitakiwa tupige kura kama Taifa na si kama Vyama.

Ka mwambie Ndugai watanzania wengi tumemdharau
 
Chadema INA kuhusu nini??Unaupa Hongera CCM kwa kuchagua Magodoro au??Kwa nchi kama yetu tulitakiwa tupige kura kama Taifa na si kama Vyama.

Ka mwambie Ndugai watanzania wengi tumemdharau
Godoro moja linapotoa pongezi kwa magodoro menzake kupata pa kupanga.
 
Nalaani kitendo cha chama cha CHADEMA kuleta wagombea wawili (fixed candidates) hawa jamaa wananikumbusha enzi za chama kimoja, walikuwa wanaleta Rais na kivuli ili Rais apite bila kupingwa kwani huwezi kuchagua kivuli kama una timamu.

Demokrasia ya kweli huwa namba inayo zidi ili watu wawe na uhuru wa kuchagua. Huwezi kuja umechagua harafu ukaniambia pitisha wakati umesha maliza uchaguzi wako. Hawa jamaa wanaimba demokrasia wakati wameficha mapanga nyuma. CCM mmeonyesha ukomavu wa demokrasia kwa kuleta wagombea 12 wakati wanaohitajika ni 6. Mmekomaa kisiasa.

HONGERENI SANA.
Hii nchi buanaaaaa! Hawa wawakilishi Elimu zao utata watatuwakilisha kweli?! Wasije wakasema ruksa kila East Africa member kushare ardhi wakasema ndiyoooooooo hili ni moja tu. Hapa tuzungumzie maslahi ya taifa sio uchama. Yetu masikio na macho. Mtoto akililia wembe..........
 
Hii nchi buanaaaaa! Hawa wawakilishi Elimu zao utata watatuwakilisha kweli?! Wasije wakasema ruksa kila East Africa member kushare ardhi wakasema ndiyoooooooo hili ni moja tu. Hapa tuzungumzie maslahi ya taifa sio uchama. Yetu masikio na macho. Mtoto akililia wembe..........

Wewe umepotoka. Waliopitishwa kwenda EALA wengi wao wapo smart. Ukimchukua Dr. Ngwaru Maghembe huwezi kumfananisha na Wenje na Masha kwa vigezo vyote pamoja na kwamba yeye ni mdogo ki umri na hajawahi kushika nafasi yoyote ya kisiasa kitaifa kama Wenje na Masha mnaowalilia. Dogo yuko very confident na anajielewa sana. Jaribu kuangalia tena clip ya video walipokuwa wanajinadi utaelewa. Isitoshe, lazima tuwe na tabia ya kuleta watu wapya, sio kila siku walewale. Kwenye ubunge wa majimbo hao hao, TLS hao hao. Kwani CHADEMA haina watu wengine wenye uwezo?
 
Poor you! You don't know what is the task ahead of them...you're only thinking triviality...the winner isn't TZ, wait and see.
 
Poor you! You don't know what is the task ahead of them...you're only thinking triviality...the winner isn't TZ, wait and see.

If you think Wenje and Masha are the only guys who can defend the interests of our nation in EALA you are very very wrong. The good thing is MPs knew what to do albeit opposition's illusion and absurdity of trying to make us believe only Wenje and Masha are the only guys with capacity for the job. I pity you my friend
 
The balance of power is needed. Did you assess the quality of those passed? Can you have any expectation apart from your assumption that MP know how to defend national interests? It is just a mere assumption and you will soon swallow it.
 
Back
Top Bottom