Hongera V .J. NYERERE. UMewatoa gizani

Hongera V .J. NYERERE. UMewatoa gizani

Pius J. Kiwarya Lema

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2013
Posts
1,097
Reaction score
571
Amewaanbia wajumbe wa Bunge la katiba wa ccm wasichague hotuba za J .K. Kambarage Nyerere,,zile zinazowabeba
watumie zote ! hakika ametoa hoja thabiti .. barikiwa sana
 
Kuna haja ya kuanzisha jukwaa la Pongezi ili kuepuka kero kama hizi kwenye jukwaa la siasa
 
Ni ukweli usiopingika,pale penye kisu kinachokata hakuna kunukuu,pale penye utelezi basi tunanukuu.Kawponda mpaka mmoja alianza kuzomea eti angesema Makongoro,mbona wao wakinukuu hatusemi angesema Rose Nyerere?
 
Poiti mojawapo iliyothabiti ni hii ya nukuu ya J.kNyerere ...........ccm waliua azimio La arusha kisirisiri na kwa hila bila kuwauliza
wananchi ! mbona
hotuba kama hazitumiwi ?
 
CCM hawana nia ya dhati na mchakato,wanatoa hoja nyepesi sana...
 
Tatizo la ccm ni kukariri baadhi ya mistari inayowabeba tu kama wale jamaa zangu wa mihadhara wanavyo kariri baadhi ya vifungu katika biblia.
 
Vicent Ni jembe hatari, na kasema ukweli. Kama Ni kumuenzi Nyerere basi wamalize rushwa, ufisadi, na usultani uliopo.
 
Vincent ni noma namfahamu huyu bwana Kama ataendelea hivi atafika mbali Sana no nyerere was pili hapa tz
 
UKAWA ni wachache lakini nondo zao jengo zima linatikisika,nawashauri wengi wakubali kwa hoja zao bado ni wachanga sana zaidi ya unafiki hawana tena way out

Tunaitaka Tanganyika yetu irudi na si Tz bara
 
CCM hawana jipya tena. hoja zilezile kwa kila kamati.. hii ni aibu jamani na mm ccm ni chama changu.
 
Back
Top Bottom